Arusha: Mfanyakazi wa Benki ya DTB ajiua kwa kujinyonga

Arusha: Mfanyakazi wa Benki ya DTB ajiua kwa kujinyonga

Mume anaamka saa 11 kujiandaa kwenda kazini mwanamke kavuta zake shuka mpaka usingizi ulipokata hiyo saa 1 na robo na kushtuka mtoto hajapelekwa shule, kwa kawaida ya wamama huwa sio rahisi kutokumshuhudia mume/watoto wakijiandaa na hata kuagana waendapo kazini/shule.

Apumzike kwa amani[emoji1431].
Hii story itamfunga mke moja kwa moja! Connection ya marehemu na chumba cha mpangaji ikoje?
 
Hii story itamfunga mke moja kwa moja! Connection ya marehemu na chumba cha mpangaji ikoje?

Yaani kama ni kujikanyaga mwanamke kajikanyaga kweli.
Kwanza huko kuombwa khanga tu, yaani unaombwa khanga saa 11 lakini unakuja kushtuka saa 1 na robo. Yaani mume akae bafuni masaa mawili hushtuki!!!

Hapo kwenye chumba cha mpangaji ndo funga kazi. Mke na mpangaji waisaidie polisi.
 
Hapa tena habari haieleweki, kutishiwa kufukizwa kazini ndio chanzo cha mtu kujinyonga? Sio kweli; huo muandiko wa kwenye barua uchunguzwe herufi kwa herufi kulinganisha na mwandiko wake ambao alikuwa ameandika kwingine, kuna namna hapo. Tubuni sasa, damu yake haitotuacha salama, na malizieni bwawa la Nyerere kama redemption.
Mmh...

Watubu kina Nani?!


DON...
 
Yaani kama ni kujikanyaga mwanamke kajikanyaga kweli.
Kwanza huko kuombwa khanga tu, yaani unaombwa khanga saa 11 lakini unakuja kushtuka saa 1 na robo. Yaani mume akae bafuni masaa mawili hushtuki!!!

Hapo kwenye chumba cha mpangaji ndo funga kazi. Mke na mpangaji waisaidie polisi.
Hahahah yani mume anaoga mke alale fofofo mume harudi chumbani masaa mawili ina maana hawa wawili hawakuwa na maelewano kabisa😅
 
Kuna akili inanambia marehemu alinyongwa.

Huenda karudi usiku wa manane,
Kamfumania mkewe anagongwa chumba Cha mpangaji.

Katika purukushani mfumaniaji kauwawa.

Kuua Soo ikabidi yatengenezwe mazingira ya fasta ionekane kajinyonga mle mle ndani.

STAGED CRIME SCENE[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna akili inanambia marehemu alinyongwa.

Huenda karudi usiku wa manane,
Kamfumania mkewe anagongwa chumba Cha mpangaji.

Katika purukushani mfumaniaji kauwawa.

Kuua Soo ikabidi yatengenezwe mazingira ya fasta ionekane kajinyonga mle mle ndani.

STAGED CRIME SCENE[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazi kabisa hii ina make sense
 
Saizi watu wengi wana stress sana,maisha yamechange mno
 
Wazi kabisa hii ina make sense
Kabisa mkuu,
Afu hata mwili uchunguzwe, wajue marehemu alirud saa ngapi, nn kiliendelea baada ya kurud
Kuna mahusiano gan Kat ya MKE na mpangaji, marehemu na mkewe maelewano yao ndani yakoje.

Kwa uzoefu,
Mtu akiwa tungi Sana, akipigwa pigo moja zuri anapitiliza mazima.


Pia Kuna suala la kuumwa tumbo,
Huenda pia akawa poisoned Kisha akaenda kutundikwa.

Wanawake wakishaanza kuchepuka wanakuaga na roho za kikatili Sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mkuu,
Afu hata mwili uchunguzwe, wajue marehemu alirud saa ngapi.
Kuna mahusiano gan Kat ya MKE na mpangaji.


Pia Kuna suala la kuumwa tumbo,
Huenda pia akawa poisoned Kisha akaenda kutundikwa.

Wanawake wakishaanza kuchepuka wanakuaga na roho za kikatili Sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hapo ndipo mtego ulipo, huenda alim poison kisha midnight akamtonya hawara wake atimbe akamtundike kwenye chumba cha mpangaji kisha azuge kama ameamka alfajiri kwenda kuoga ndipo akajinyonga. Women are so evil nataman ningepata muendelezo wa hii kesi.

Yani possibility ya marehem na mke kuwa hawakuwa in good terms ni kubwa sana na kwa namna story alivyoitoa mke wa marehem ni kama alikuwa anajua plan nzima.

Kisha kuandika hiko kijikaratasi cha uongo na kweli kama zuga zuga entertainment😂
 
Kuna akili inanambia marehemu alinyongwa.

Huenda karudi usiku wa manane,
Kamfumania mkewe anagongwa chumba Cha mpangaji.

Katika purukushani mfumaniaji kauwawa.

Kuua Soo ikabidi yatengenezwe mazingira ya fasta ionekane kajinyonga mle mle ndani.

STAGED CRIME SCENE[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Purukushani za hadi kumnyonga mtu ambaye yupo sober zitasikiwa na majirani hence itatengeneza mashahidi.

I doubt this.
 
Back
Top Bottom