Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Yeah kila marehemu ni mwendazake
kumbe ni kila mtu wlanaweza kuitwa mwendazake nilijua ni utambilisho maalum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe ni kila mtu wlanaweza kuitwa mwendazake nilijua ni utambilisho maalum
Kweli kabisa ,,ndio maana Mimi nilipata mtoto nna 26 na Sasa ni mchaka mchaka tu wakupambana sifikiri tena kuzaaMiaka 50 bado unazaa, stress lazima zikuue tu.
Anyway, pole kwa wafiwa.
Pesa bila uangalizi si
sasa si mke yupo atalea watoto? mbona kuna vijana wengi wana miaka 20 wametelekeza watoto bila matunzo?Miaka 60 mwanao hajaanza hata sekondari
Unawaachia watu mzigo.
Haikwepeki yani huyo jamaa lazma ana kipengele tuNdio hapo sasa, kama ameamua kuandika ujumbe ili waliobaki wasifungwe (mke) means angesema sababu angalau, ila kwa stule hii ni lazima mke awekwe ndani kwanza
Hii story itamfunga mke moja kwa moja! Connection ya marehemu na chumba cha mpangaji ikoje?Mume anaamka saa 11 kujiandaa kwenda kazini mwanamke kavuta zake shuka mpaka usingizi ulipokata hiyo saa 1 na robo na kushtuka mtoto hajapelekwa shule, kwa kawaida ya wamama huwa sio rahisi kutokumshuhudia mume/watoto wakijiandaa na hata kuagana waendapo kazini/shule.
Apumzike kwa amani[emoji1431].
mi nilipata mtoto nina miaka 17, lakini nasikitika hata uwezo wa kumtunza sikua nao, najuta .Kweli kabisa ,,ndio maana Mimi nilipata mtoto nna 26 na Sasa ni mchaka mchaka tu wakupambana sifikiri tena kuzaa
Hii story itamfunga mke moja kwa moja! Connection ya marehemu na chumba cha mpangaji ikoje?
Mmh...Hapa tena habari haieleweki, kutishiwa kufukizwa kazini ndio chanzo cha mtu kujinyonga? Sio kweli; huo muandiko wa kwenye barua uchunguzwe herufi kwa herufi kulinganisha na mwandiko wake ambao alikuwa ameandika kwingine, kuna namna hapo. Tubuni sasa, damu yake haitotuacha salama, na malizieni bwawa la Nyerere kama redemption.
Hahahah yani mume anaoga mke alale fofofo mume harudi chumbani masaa mawili ina maana hawa wawili hawakuwa na maelewano kabisa😅Yaani kama ni kujikanyaga mwanamke kajikanyaga kweli.
Kwanza huko kuombwa khanga tu, yaani unaombwa khanga saa 11 lakini unakuja kushtuka saa 1 na robo. Yaani mume akae bafuni masaa mawili hushtuki!!!
Hapo kwenye chumba cha mpangaji ndo funga kazi. Mke na mpangaji waisaidie polisi.
Uyu kafumania afu kanyongwa,Chumbani kwa mpangaji marehemu amemtia mkosi mpangaji kwenda kujinyonga room ya mpangaji.
Haiingii akilini kabisaHii story itamfunga mke moja kwa moja! Connection ya marehemu na chumba cha mpangaji ikoje?
Wazi kabisa hii ina make senseKuna akili inanambia marehemu alinyongwa.
Huenda karudi usiku wa manane,
Kamfumania mkewe anagongwa chumba Cha mpangaji.
Katika purukushani mfumaniaji kauwawa.
Kuua Soo ikabidi yatengenezwe mazingira ya fasta ionekane kajinyonga mle mle ndani.
STAGED CRIME SCENE[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu,Wazi kabisa hii ina make sense
Mtu una miaka 50 hata akipata ngwengwe is that a big deal?..Labda kapima kakuta ana ngwengwe kachukua maamuzi magumu.
Ebu huyo mkewe akapime kwanza .
Yani hapo ndipo mtego ulipo, huenda alim poison kisha midnight akamtonya hawara wake atimbe akamtundike kwenye chumba cha mpangaji kisha azuge kama ameamka alfajiri kwenda kuoga ndipo akajinyonga. Women are so evil nataman ningepata muendelezo wa hii kesi.Kabisa mkuu,
Afu hata mwili uchunguzwe, wajue marehemu alirud saa ngapi.
Kuna mahusiano gan Kat ya MKE na mpangaji.
Pia Kuna suala la kuumwa tumbo,
Huenda pia akawa poisoned Kisha akaenda kutundikwa.
Wanawake wakishaanza kuchepuka wanakuaga na roho za kikatili Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Purukushani za hadi kumnyonga mtu ambaye yupo sober zitasikiwa na majirani hence itatengeneza mashahidi.Kuna akili inanambia marehemu alinyongwa.
Huenda karudi usiku wa manane,
Kamfumania mkewe anagongwa chumba Cha mpangaji.
Katika purukushani mfumaniaji kauwawa.
Kuua Soo ikabidi yatengenezwe mazingira ya fasta ionekane kajinyonga mle mle ndani.
STAGED CRIME SCENE[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyumba zinakuaga na fensi, wanaishi mwenye nyumba na mpangaji mmoja TU.Purukushani za hadi kumnyonga mtu ambaye yupo sober zitasikiwa na majirani hence itatengeneza mashahidi.
I doubt this.