Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Si angeacha kazi kama alivyoiacha kwa njia hii Ila angekua na familia yake?Daaah kaacha msalaba mzito sana naeza kuamini higo sababu yq mke kazini kumekua na chuki sana maofisini fitina,majungu,chuki na dharau zimejaaa