Miaka 50 mwanaume kuzalisha siyo issue . Ingekuwa ni mwanamke mjadala ungekuwepo kwamba aliwezaje kushika mimba katika umri huo!Miaka 50 bado unazaa, stress lazima zikuue tu.
Anyway, pole kwa wafiwa.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app