Arusha Mjini - Siyo Gambo wala Makonda - CCM iwatose wote.

Arusha Mjini - Siyo Gambo wala Makonda - CCM iwatose wote.

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Ni dhahili kuwa wote wawili wana makundi makubwa ndani ya CCM

* Kundi la Makonda pekee halitoshi kuipa ushindi CCM;
Lkn pia kundi la Gambo pekee halitoshi kuipa ushindi CCM.

* Kundi lolote litakalojibagua na kuunga mkono upinzani ni wazi kuwa CCM itakuwa na hali ngumu sana;

* Kwa msingi huo wote wawili CCM iwatose na kuja na mgombea asiyekuwa na makundi
 
Back
Top Bottom