Arusha Mjini - Siyo Gambo wala Makonda - CCM iwatose wote.

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Ni dhahili kuwa wote wawili wana makundi makubwa ndani ya CCM

* Kundi la Makonda pekee halitoshi kuipa ushindi CCM;
Lkn pia kundi la Gambo pekee halitoshi kuipa ushindi CCM.

* Kundi lolote litakalojibagua na kuunga mkono upinzani ni wazi kuwa CCM itakuwa na hali ngumu sana;

* Kwa msingi huo wote wawili CCM iwatose na kuja na mgombea asiyekuwa na makundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…