Arusha: Mke ampa kipigo mumewe hadi kumuua

RIP Daudi.........ila wanawake wasombetini ni species nyingine kbsaa aisee
 
Huyo marehemu ni mpuuzi!!!,,,,,,,,,,"bora ata aziz k"
 
Ndio kila mara we anapigwa na avumilie tyuh? Huu ni uongo kubalini jamaa hakua na nguvu kumzidi mkewe, ndo maana akawa anabondwa.
Hakuna hiyo kitu!inahitajioa ngumi Moja tu kwa mwanamke anakufa hapo hapo!ngumi moja tu ukikosea ukampiga mwanamke anakufa papo hapo!

We ona wanashirikiana na watoto kumpiga baba hivi unapata wapi nguvu za kupigana na mtoto wako na make kwa pamoja!!?zaidi ya kubaki unashangaa tu Hadi kifo!!?

Hapo ulipo mtoto wako uliemzaa akikuchukulia Rungu akupige unadhani utakua na nguvu za kumpiga au kupigana!!?Ganzi mwili mzima na hata maarifa ya kupigana au kukimbia huna!
 
Yaani unafanikiwa kumlaza kifo cha mende, chuma mboga, mbuzi kagoma, kiboti majini, kuna nazi na mikao kadha bado anipige!!!?🙄🙄
 
Mimi mwanamke akianza kuleta kelele ndogo ndogo kama vile mbona hunipigii simu, hunitext, naona uko bize... huwa naachana naye hapo hapo. Hizo huwa dalili za mwanamke mtemi anayetaka sheria zake zifuatwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…