Arusha: Mtoto adaiwa ‘kupooza’ mkono baada ya adhabu ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Miririni Wilaya ya Meru

Arusha: Mtoto adaiwa ‘kupooza’ mkono baada ya adhabu ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Miririni Wilaya ya Meru

yaani mimi nilishasema Mwalimu asije akamuumiza mtoto wangu kwa sababu yoyoye ile la sivyo mimi sitaenda kulalamika bali nitapelekwa jela…

Mwalimu wa madrasa alikua na ujinga huo huo wa kupiga watoto mpaka wanakuja wamevimba mikono kwa kumuheshimu niliamua watoto wakae nyumbani tu.
 
Mishahara yenyewe midogo unahanfaika na matoto ya watu ya nini,piga chaki lala mbele fanya shughili zako
 
Back
Top Bottom