Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Wanaume hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kuna mawili laana au pombe kaliiSasa hii tuseme ni ugonjwa wa akili, laana, ushirikina au nini?
Ahasiwe tu
Kwa mali gani mnazomiliki wanaume wa kibongo?? Hiyo miboksa iliyotoboka au? 😹😹Hivi Hizi Kesi huwa zinakuwa zina Ukweli au ni masuala ya Wanawake gold-diggers kuwapakazia Wanaume tuhuma ili Wanawake matapeli wa ndoa wapate nafasi za kupora Mali za Wanaume?
Mitakataka 🚮Wanaume hovyo sana
Watoto Sasa wataenda kuishi wapi hasa ambako watakuwa wapo salama????Huwa wanafanya kweli mkuu.
Kuna mikoa ina matukio ya kutisha mno mkuu.
Yaani ni mauaji tu.
Mungu akujaalie uwe Rais tuoneMimi ningekuwa ni Raisi watuhumiwa kama hawa ni kuwanyonga mara moja.
Kesi ikiisha mahakamani na ikathibitika umefanya kosa kama hili, natia saini yangu on the spot ukanyongwe.
Watu wa namna hii hawastahili kuishi hata kwa sekunde moja.
Pombe tunaisingiziaHapo kuna mawili laana au pombe kalii
Short n' clear...ukiabudu sana hela,unaweza ukafanya mambo ya ajabu
wakati tukio linatokea baba wa mtoto alikuwa nyumbani ,na hapo nyumbani wanaishi watatu tu. baba,mama na mtoto. kwa hiyo mama anashikiliwa kwa mahojiano na uchunguzi zaidiHivi Hizi Kesi huwa zinakuwa zina Ukweli au ni masuala ya Wanawake gold-diggers kuwapakazia Wanaume tuhuma ili Wanawake matapeli wa ndoa wapate nafasi za kupora Mali za Wanaume?
Kuna time inafikia mpaka ndugu mtu anaogopa yaani.Watoto Sasa wataenda kuishi wapi hasa ambako watakuwa wapo salama????
Wapi sasa ni mahali salama kwa Watoto kuishi????
Ina maanisha hata wanawake wengine wanavyotupa watoto wadogo kwenye vyoo wanawake wote hawana akili ?Nikisema wanaume hawana akili mnachongoa midomo mirefu km chupa..!!
Mwanaume km huyo ndo umuachie mtoto? Mwanamke ndoa ikikushinda beba na watoto wako, huyo kamlawiti mtoto wake na mkewe yupo, vipi ukimuachia haupo??
100% sio mwanae huyo. Atakuwa kaletewa mtoto wa nje akiwa ndani ya ndoa.Nikisema wanaume hawana akili mnachongoa midomo mirefu km chupa..!!
Mwanaume km huyo ndo umuachie mtoto? Mwanamke ndoa ikikushinda beba na watoto wako, huyo kamlawiti mtoto wake na mkewe yupo, vipi ukimuachia haupo??
Kichanga kina Miezi 9 Mungu unaruhusu vipi ateseke na kufa kikatili kiasi hicho? Inafikirisha sana.Haafu anakuja mtu anasema Mungu yupo, Mambo yote yanapangwa na kuruhusiwa na Mungu.
Mimi nitakuwa wa Mwisho kuamini uwepo wa Mungu mwenye nguvu zote na upendo wote.
Hakuna Mungu wa kujalia kitu chochote kile.Mungu akujaalie uwe Rais tuone
🥹🥹 🥹 Hii huwenda ni kweliMasharti ya waganga hayo ili Aipandishe NYOTA anaambiwa alale na mtoto mdogo ambaye hajavunja Ungo.
Mungu hayupo.Kichanga kina Miezi 9 Mungu unaruhusu vipi ateseke na kufa kikatili kiasi hicho? Inafikirisha sana.