Arusha: Mtoto wa miezi 9 alawitiwa na Baba yake mzazi hadi kufariki dunia

Arusha: Mtoto wa miezi 9 alawitiwa na Baba yake mzazi hadi kufariki dunia

Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.

Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.

Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.

Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.

Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.


Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Akinamama hapo wamekosa nini wakati muuaji ni mzazi wa marehemu?

Dhamira ovu ya mzazi ambaye ndiye guardian wa mtoto ni nigumu sana kujua anachokiwaza kichwani mwake ama kumtilia mashaka.
 
Kwa mali gani mnazomiliki wanaume wa kibongo?? Hiyo miboksa iliyotoboka au? 😹😹 Hii kauli yenu ya mali inanichekeshaga sana 🤣
Baba mwenyewe alikuwa dereva wa daladala tena Hiace na gari yenyewe sio yake.
 
Ila akili za wadudu wanazijua wao...

Zamani matukio ya ajabu ajabu ilikua mbeya na kanda ya ziwa huko, sasa hivi Njombe na Chuga aloo zina kasi sawa.

Hawa watu wanakula bangi gani sijui
 
Hii laana Mungu wangu inatoka wapi jamani?Unamlawiti mwanao wa kumzaa ni tamaa zilizokithiri au ni masharti au nini?Hakika amelaanika,damu ya mwanae na iwe juu yake mwenyewe.Serikali please hii kesi isichukue muda akafie gerezani hayawani na kafiri asiye na utu wala staha mjalaana!
Ulawiti ni kosa no matter ni mtoto wako, wa jirani, mtu mzima au mwanamke.
 
Ina maanisha hata wanawake wengine wanavyotupa watoto wadogo kwenye vyoo wanawake wote hawana akili ?

Vipi na yule mama wa kikenya aliyemkata kata mtoto wake mdogo na kumpika kwenye sufuria kama mboga ni wanawake wote mpo hivyo ?

Haya matukio ni ya kukemea na kulaani kwa nguvu zote na sio kuleta maswala ya jinsia hapa
Wanaume mmezidi, nyie mpk wanaume wenzenu mnawapanda hamuogopi..!!
 
Hii inachukua gold medal katika uhalifu uliotokea toka tupate uhuru 1961.
Naanza kuamini wanavyosema kwamba itatokea earthquate hapo kwenye Rift Valley ambayo watu wataisimulia siku nyingi.
 
Back
Top Bottom