Arusha: Mtoto wa miezi 9 alawitiwa na Baba yake mzazi hadi kufariki dunia

Arusha: Mtoto wa miezi 9 alawitiwa na Baba yake mzazi hadi kufariki dunia

Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.

Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.

Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.

Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.

Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.


Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Mpokeeni a
Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.

Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.

Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.

Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.

Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.


Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Mpokeeni Bwana Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yenu mjiepushe na uovu.
 
Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.

Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.

Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.

Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.

Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.


Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Hapa suala siyo la la akina mama kuwa makini na watu wanaowaamini. Sasa mke anaanzaje kumhisi mume wake kwamba atamlawiti mwanae mchanga?
Mke akiwa na mawazo kama hayo kwa mumewe basi hiyo nyumba ni ya ibilisi mzima mzima.
NB: Serikali ibadilishe hukumu za watu kama hawa ikithibitika ni kweli katenda huo unyama.
Hakunà haja ya watu kama hao kusumbua jela. Wachomwe moto hadharani ili wàtu waendelee na maisha mengine.
 
Ktk mikoa ambayo huqa siuelewi ni arusha watu huko wengi nawaonaga kama machizi fulani
Si wanawake si wanaume..
Wana usela fulani au vitabia fulani vya ajabu ajabu na kishamba

Ova
 
Inahuzunisha sana bila shaka ni masharti ya Mganga, tamaa ya utajiri wa harakaharaka unafanya baadhi ya Watu kufanya mambo ya kutisha ili wawe matajiri.
 
Hivi Hizi Kesi huwa zinakuwa zina Ukweli au ni masuala ya Wanawake gold-diggers kuwapakazia Wanaume tuhuma ili Wanawake matapeli wa ndoa wapate nafasi za kupora Mali za Wanaume?
Huyo baba ana miliki nini? Tuanzie hapo kwanza ndo swali lako litajibika vizuri
 
Huko sio kulawiti huko ni kuua tu kwa makusudi,mtu mzima unaposema unamuingilia mtoto wa miezi 9 unapitisha wapi?huyo mtu nahisi hata akili yake ichunguzwe kwanza...
 
Mimi ningekuwa ni Raisi watuhumiwa kama hawa ni kuwanyonga mara moja.

Kesi ikiisha mahakamani na ikathibitika umefanya kosa kama hili, natia saini yangu on the spot ukanyongwe.

Watu wa namna hii hawastahili kuishi hata kwa sekunde moja.
Naunga mkono hoja
 
Hata kama watu wako na mashetani kwa mawazo yao,lakini kwa mtoto wako wa kumzaa huyo ni zaidi ya shetani.
 
Mimi ningekuwa ni Raisi watuhumiwa kama hawa ni kuwanyonga mara moja.

Kesi ikiisha mahakamani na ikathibitika umefanya kosa kama hili, natia saini yangu on the spot ukanyongwe.

Watu wa namna hii hawastahili kuishi hata kwa sekunde moja.
Hakika
 
Mimi ningekuwa ni Raisi watuhumiwa kama hawa ni kuwanyonga mara moja.

Kesi ikiisha mahakamani na ikathibitika umefanya kosa kama hili, natia saini yangu on the spot ukanyongwe.

Watu wa namna hii hawastahili kuishi hata kwa sekunde moja.
Tena hadharani ananyongwa
 
Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.

Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.

Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.

Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.

Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.


Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Anayetakiwa kuwa mlinzi namba moja ndiye anakuwa adui nambari moja.
Hatari sana.
 
Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.

Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.

Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.

Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.

Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.


Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Huyo ilitakiwa wananchi wamuue hapohapo,
 
Back
Top Bottom