Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma vizuri au vibaya miezi?umri wa miezi 9
Wanapewa watoto wa TASAF wewe haupo TASAF?yamesababishwa na CCM kutunyima Elimu
Tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko unavyo dhani.Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.
Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.
Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.
Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.
Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.
Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Miezi 9? Sindano unainua tundu lake?Tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko unavyo dhani.
Utajiri una siri NyingiMtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.
Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.
Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.
Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.
Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.
Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
SanaaaUtajiri una siri Nyingi
Hapo Arusha kuna Matajiri kibao wanakula watoto wao wa Kike, tena wa wala Nyuma. Ndio masharti ya Mganga.Sanaaa
CCM mtupisheWanapewa watoto wa TASAF wewe haupo TASAF?
Yote yanawezekanaSi angemlawiti mke wake tu mambo yasiwe mengimengi.Nasubiri ripoti ya daktari anaweza kuwa kasingiziwa na mke wake.
Upo TASAF?CCM mtupishe
Mtuachie nchi yetu tumechoka
Kwa hio we unahisi angekula. Witi wewe?Naona watu mnaanza kumtetea Kwa kusema ni ugonjwa wa akili hakuna kitu kama hicho Hilo amedhamiria na alijua anchofanya
Mnaujaga na maneno ya shombo kuhusu wanawake kumbe akili zenu ndo hizo
Huyo aliyezaa naye ni mwanaume mwenzie sio?Kwa hio we unahisi angekula. Witi wewe?
Ni wewe hapoHuyo aliyezaa naye ni mwanaume mwenzie sio?