Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Hujajibu swali, Mimi sipo hapa kuleta mipasho na mtu yoyotePole sana, siku nyingine ukitaka kujibu kitu punguza mihemko sawa?? πΉπΉ
Nimekushuhudia wewe shangazi π
Nimekushuhudia wewe shangazi yangu..!!Hujajibu swali, Mimi sipo hapa kuleta mipasho na mtu yoyote
Umewahi kumshuhudia Baba yako, Kaka yako au mumeo akiinamishwa ?
Kesi Kama hii inahitaji akili kubwa, ukiingia kichwakichwa utakuta unahukumu kwa mihemko, na mtuhumiwa wa kweli unamuacha uraiani
Sometimes hata mi Hua nahisi hivo, kwanza inaingiaje?Hivi Hizi Kesi huwa zinakuwa zina Ukweli au ni masuala ya Wanawake gold-diggers kuwapakazia Wanaume tuhuma ili Wanawake matapeli wa ndoa wapate nafasi za kupora Mali za Wanaume?
Elimu muhimu MkuuOya kausha basi na hizo siasa... ccm ikufanye ubake kichanga
Naamini hata shetani amemshangaa huyo mzazi.Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.
Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.
Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.
Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.
Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.
Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Changamoto za afya ya akili. Naye., kama ni mzima na amesukumbwa na ushirikina, alawitiwe hadi kufa.Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na babake mzazi hadi kufariki dunia.
Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.
Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni ni mtoto wa kwanza kwenye familia hiyo, na kuwa baba wa marehemu ambae ndie mtuhumiwa alikuwa dereva wa daladala jijini hapa.
Wananchi wa mtaa huo wa Olasiti kati wamesikitishwa na tukio hilo katika mtaa huo na kudai ndio tukio la kwanza na la aina yake katika mtaa wao.
Jeshi la polisi tayari linamshikilia Baba na mama wa marehemu kwa mahojiano zaidi.
Wamama tuwe makini sana na wale tunaowaamini majumbani kwetu.
Ukapimwe magonjwa ya akiliNimekushuhudia wewe shangazi yangu..!!
huyo mwanaume ambaye ni mpya kama anaweza kumuoa huyo mwanamke ambaye kama kweli ameua mtoto basi naye za kwake hazipo mbali maana mtu akisha kula nyama ya mtu kuacha ni nadra sana atapata mwanaume mwingine atafanya hivyohivyoHakika.
Huenda pengine huyo Mwanamke amepata Mwanaume mwingine ambaye anataka kumuoa lakini huenda Mwanamume huyo mpya amempatia sharti la yeye kutokuwa tayari kuoa Mwanamke ambaye tayari ana mtoto aliyezaa na mtu mwingine.
Kwa hiyo ameamua kutengeneza tukio hilo la Mauaji ya huyo Mtoto ili huyo Mwanamke apate Uhuru wa kuweza kuolewa tena na huyo Mwanamume mpya bila kikwazo chochote kile, kwa sababu mtoto atakuwa amekufa na mumewe wa Sasa atakuwa amefungwa kifungo Cha maisha jela/gerezani.
Uangalifu mkubwa wa hali ya juu unahitajika kwenye suala hili.
πΉπΉππΏUkapimwe magonjwa ya akili
Hapo kaka, nimekuelewa vzur, kwasababu sio rahis Mwanaume abake katoto kadogo ka miezi 9, for what?Hakika.
Huenda pengine huyo Mwanamke amepata Mwanaume mwingine ambaye anataka kumuoa lakini huenda Mwanamume huyo mpya amempatia sharti la yeye kutokuwa tayari kuoa Mwanamke ambaye tayari ana mtoto aliyezaa na mtu mwingine.
Kwa hiyo ameamua kutengeneza tukio hilo la Mauaji ya huyo Mtoto ili huyo Mwanamke apate Uhuru wa kuweza kuolewa tena na huyo Mwanamume mpya bila kikwazo chochote kile, kwa sababu mtoto atakuwa amekufa na mumewe wa Sasa atakuwa amefungwa kifungo Cha maisha jela/gerezani.
Uangalifu mkubwa wa hali ya juu unahitajika kwenye suala hili.
Wataalamu wa afya ndio wanajuaHv akili inapimwajwe?!