Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

chuo cha makumira ni chuo cha kkkt kinafundisha madansa? nilidhani ni kupiga vyombo tu.ila pole sana mdada sijui ni shida gani ilitokea
 
R.I.P......inasikitisha sana





Ila siku zote binadam ndio wabaya.... waswahili wanasema wabaya watu.
 
Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo tajwa abakwa adi kufariki dunia na habari kutoka kwa wanafunzi hapo wadai watu takribani 30 wamekamatwa.

NOTE: Picha zinazoonesha Mwili wa Marehemu, zimeondolewa.

Hapa chini ni Picha wakati wa uhai wake.
View attachment 428367 View attachment 428368 View attachment 428369


Mkuu nini chanzo had ufanyiwe hiv binti wa watu inaumiza sana
Mavazi ya mtu au muonekano wa mtu haukupi wewe mamlaka hapa chini na mbiguni kutoa roho ya binadamu mwingine. Watu wanaua wenzao hapo TZ na wala hawanyongwi leo hii huyu binti amevaa nguo ya ufukweni ya heshima kabisa na mnahalalisha kifo chake kwa kumlaumu huyu dada. Nimesikitika sana na huu upumbavu kwa kweli. Hapa Marekani ukilala hata na mke wako kwa kumlazimisha akawaita polisi unashtakiwa kwa kurape. Na ni kifungo cha miaka zaidi ya 20.

Yaani moyo wangu unamajonzi kwa kweli huyu binti amekufa kifo cha kinyama kwa sababu ya mbwa mwitu nyamafu washenzi na watafia jela.
 
..moja ya njia kwa ya kuzuia kubakwa mademu (haswa warembo)ni kuangalia sana mavazi yao....mavazi kwa mwanamke yanaweza kumsababishia shida kubwa...haswa nguo fupifupi..hata kama wanavaa lakini si vema kujinadi mitandaoni....ni angalizo tu....kwa warembo...


Mavazi ya mtu au muonekano wa mtu haukupi wewe mamlaka hapa chini na mbiguni kutoa roho ya binadamu mwingine. Watu wanaua wenzao hapo TZ na wala hawanyongwi leo hii huyu binti amevaa nguo ya ufukweni ya heshima kabisa na mnahalalisha kifo chake kwa kumlaumu huyu dada. Nimesikitika sana na huu upumbavu kwa kweli. Hapa Marekani ukilala hata na mke wako kwa kumlazimisha akawaita polisi unashtakiwa kwa kurape. Na ni kifungo cha miaka zaidi ya 20.

Yaani moyo wangu unamajonzi kwa kweli huyu binti amekufa kifo cha kinyama kwa sababu ya mbwa mwitu nyamafu washenzi na watafia jela.
 
Akili za kinyang'anyau kabisa hizi

Mavazi ya mtu au muonekano wa mtu haukupi wewe mamlaka hapa chini na mbiguni kutoa roho ya binadamu mwingine. Watu wanaua wenzao hapo TZ na wala hawanyongwi leo hii huyu binti amevaa nguo ya ufukweni ya heshima kabisa na mnahalalisha kifo chake kwa kumlaumu huyu dada. Nimesikitika sana na huu upumbavu kwa kweli. Hapa Marekani ukilala hata na mke wako kwa kumlazimisha akawaita polisi unashtakiwa kwa kurape. Na ni kifungo cha miaka zaidi ya 20.

Yaani moyo wangu unamajonzi kwa kweli huyu binti amekufa kifo cha kinyama kwa sababu ya mbwa mwitu nyamafu washenzi na watafia jela.
 
R.I.P ila cha msingi ni kuwa dada zetu wajiheshimu mavazi hatari sana hao washkaji wamekosea kuua ila wangebaka tu kutuoa fundisho
Hayo mavazi amevaa kulingana na mazingira, ni sawa na kupiga picha swimming pool ukiwa mapaja yote nje au uko na chupi tu
 
Huwezi kumlaumu kwakuwa hujui hasa ni eneo hatari kiasi gani.

Pale Makumira chuo kimezungukwa na wanywa gongo na wavuta bangi eneo la Kilala.
Wale wameru wamechukia sana uwepo wa chuo hasa wanafunzi waliokuja kuharibu tamaduni yao ya jadi hasa maadili.

Pia kumbuka ,Pale chuo kipo kijijini,Arumeru,Watu wa Kilala,Singisi na USA river hasa vijana wanatumia sana yale majani ya Kisimiri na mwisho wake ndo huo ubakaji.

Picha nineziona watsupp hazifai.

Siku za Mwisho kutakuwa na matukio ya kutisha,haya yalitabiriwa na Kristo,na sasa yanatokea.

Nawasihi ndugu zangu ,hili tukio tumhusishe SHETANI moja kwa moja na si siasa wala chama!

Pole sana Wanawake wote wa dunia hii,pole wazazi wenye watoto wa kike,Pole kwa wanaume wote wanaojali wanawake na Mungu ndio ataamua kumweka anapostahili,siwezi kumpangia amiweke wapi maana maandiko (Biblia) ipo wazi!

Muandiko wa kisabato kbs, asante kwa maneno mazur
 
Anavaa uchi hv aacha abakwe mshahara,wa dhambi ni mauti
Siku moja naombea vizazi vyako na ndugu zako wote wabakwe na ndio tuone utakacho sema we mbwa mwitu usiye na ustaarabu wa aina yoyote ile. Koma we shenzi kama ulivyo koma ziwa la mama ako. Ka lale uko na njaa yako. Pumbavu huna haya. Huwezi ukatoa kauli kama hiyo we fala.
 
Napinga Sana ubakaji ila mama aliniambia hivi siku moja: ukipita uchochoroni usiku na vibaka wakakukaba kabla hujawalaumu hao vibaka jilaumu wewe kwa kupita njia hatarishi!
Kwa life style ya Huyo marehemu(r.I.p) ya kuacha tu mapaja nje, kujiweka karibu na vidume, nk. kuna mchango wake mkubwa wa kubakwa kwake!
kwa hizo picha juu huenda amegonganisha mabwana au kala hela za wanaume halafu anawakimbia sasa 40 zimemfikia
 
ase ni kitendo cha kinyama sana.apumzke kwa amani,dunia imebadilika sana nowadays jaman

Ndiyo imebadilika lakini kinacho niuma ni jinsi watu hapa jamii forum wanavyojaribu kumlaumu marehemu. Eti amevaa nguo za kimalaya. It never ok to take someone life under any circumstances.
 
Wanafunzi wa Makumira ndio Zao, Wanakuchuna Halafu Wanakukimbia, Ndio Wajifunze Sasa, Hakuna vya Bure
 
Back
Top Bottom