BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Roho mbaya na utahukumiwa kwa roho yako hio.Anavaa uchi hv aacha abakwe mshahara,wa dhambi ni mauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho mbaya na utahukumiwa kwa roho yako hio.Anavaa uchi hv aacha abakwe mshahara,wa dhambi ni mauti
Duuuh jamaniMarehemu Juliana pia alipata kushiriki kwenye video ya kijana diamond kwenye nyimbo ya Salome!
![]()
![]()
-Nyerere-
Mkuu watu kama hao tunawaombea pia kama sio watoto wao wa kike basi wadogo zao ama dada zao ama wake zao wafanyiwe kama alivofanyiwa huyo dada halaf uchungu watakaoupata tuone kama wataongea utumbo wanaouongea hapa. hawa feel chochote ni kama mashetaniSiku moja naombea vizazi vyako na ndugu zako wote wabakwe na ndio tuone utakacho sema we mbwa mwitu usiye na ustaarabu wa aina yoyote ile. Koma we shenzi kama ulivyo koma ziwa la mama ako. Ka lale uko na njaa yako. Pumbavu huna haya. Huwezi ukatoa kauli kama hiyo we fala.
Sio huyo aluye kwny video ya diamond , na wala si mwanafunzi wamakumiraYan imebidi niitizame tena ile video mara mbili mbili dah
So sad
mmm sidhan may be kunakubwa ambalo hatulijui limejificha nyuma ya pazia muda utasemaDuuuh au wanafuz n hasira ya kukosa mkopo ndio wakaamua kumalizia hasira zao.
Huyo itakuwa alikula hela za mwanaume halafu kabana kutoa papuchi
RIP
Mie nashangaa kwa kweli hatakama ni kisasi basi wange mbakishia tu uhai wake watu wanaroho ngumu
itakuwa nawe michezo yako hiyo kuwa makini ufuate kilichokupeleka chuo hela ya mwanaume hailiwi hivi hiviHicho ndo mnachowaza ...mbwa nyinyi
hizi ndio hasara za madada kuwa na mabwana wengi mwishowe ndo inakuwa hivyo si unaona hadi picha zake za uchi uchiAtakua katoka pwani huyo akangia Arusha kwa pupa' muwe makini wanafunz mnaotoka maeneo ya pwani wanume wa Ar- sio wakuwalia pesa zao alafu unaleta ujanja ujanja' POLENI WAFIWA- ombi langu kwa wazazi watoto wanapoenda kusoma jaribuni kuwatisha wasijiusishe na ngono kabisa
uko sahihi mkuuNahisi na hawa mabinti wa chuo wanajifanyaga wana akili sana hasa kwenye jambo la mahusiano
na nizaidi ya mashetani kwa kitendo hicho ninahisi lazima marehemu atakuwa alilalamika sana sijui hawakuingiwa na tone LA huruma au ndio walikuwa wameshavuta janiMkuu hawa si watu hawa ni wanyama, Binadamu hawawezi kumfanyia unyama kama huu binadamu mwenzao hadi wamuue.
ingekua dada yako ungetoa kauli za kipumbavu Kama izo.
Kufa ni kufa tu cha msingi wanawake mjiheshimu mnatembea uchi mnategemea nini mnawapa mitihani migum wanaume?Mkuu am speechless na baadhi ya kauli za humu, na kufikia mpaka kuweka picha ya marehemu. Ukizingatia huyu ni binadamu mwenzetu, na wote tunaelekea kumoja ila kwa njia tofauti.