MUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty
Your browser is not able to display this video.
Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.
hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.
Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.
Kwa mujibu wa ukurasa wa Wasafi huko FB, Henry alizaa na mwanamke huyo watoto wawili kati ya watatu alio nao mwanamke huyo. Pia Henry aliwahi kumfumania mwanamke huyo.
Kwa mujibu wa ukurasa wa Wasafi huko FB, Henry alizaa na mwanamke huyo watoto wawili kati ya watatu alio nao mwanamke huyo. Pia Henry aliwahi kumfumania mwanamke huyo.
Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.
hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.
Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.
Personal baada ya kusikiliza pande mbili suspect number 1 angekuwa baba mtu na mdogo wake kwa maelezo yao ambayo kama vile yana hitimisho. Kuliko maelezo ya mkewe ambae bado ana sintofahamu.
Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.
hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.
Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.
Kawaida ya dunia huwa haiachi kukuumiza hadi uelewe funzo linayokupa, ukiwa mgumu kuelewa dunia itaendelea kukuumiza na mwisho kupoteza maisha.
Dunia ikiamua kukuonyesha marafiki ulionao ni wezi/majambazi na ikakuonyesha wezi wanauwawa hilo ni funzo inatakiwa uachane nao
Ikikuonyesha mchumba/mke ulienae ni malaya hilo ni funzo na inatakiwa uelewe na ufanye maamuzi ya kuachana nae.
Vinginevyo ukiwa mwanafunzi mgumu kuelewa dunia itakuadhibu kifo cha maumivu.