Arusha: Mwanaume auawa kikatili na kulawitiwa, mke atuhumiwa

Arusha: Mwanaume auawa kikatili na kulawitiwa, mke atuhumiwa

Kama unavyokuwa makini na watu pia uwe makini sana na watu wakaribu yako hasa mkeo,mimi nimemseti mke wangu hawezi kuniua wala kunifanyia ishu yoyote mbaya
 
MUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty

View attachment 2904415

Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.

hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.

Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.

View attachment 2904421


View attachment 2904422


View attachment 2904423


View attachment 2904424


View attachment 2904425



View attachment 2904426




View attachment 2904427
Can't play video
 
Vipi lakini unaendeleaje?
Kumbe Leejay49 ni bonge la Mlibwende la kibantu namna hii...[emoji848][emoji4]
Screenshot_2024-02-16-13-44-07-60_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
 
Hili tukio mbona limepita muda! Au jingine tena!


Nasubiri njombe au iringa wajibu mapigo ya kaskazini, Mungu awaepushie mbali

Kaskazini sio mahala pakuishi
Njombe na iringa sio pahala pakuishi
 
Kabla hujalaumu jiulize alimfanya nini mwanamke huyu??

(Ona watakavyokuja na kupanick wakati ndio reaction hizi hizi niliziona kwenye uzi wa aliyemchoma mkewe kwa gunia 2 za mkaa)
By any means you have no right to kill[emoji120]
 
Hicho kifo ni cha kulipiza kisasi tu
Inaoneonekana
Mtu mumkate mapanga,mumlawiti na mumuuwee ehh
Kila siku nasema hakuna watu wenye roho mbaya kama watz

Ova
nashangaa roho mbaya hiyo hatuthubutu kuielekeza kwa kubwa la maadui wenyewe the ccm
 
Hili tukio mbona limepita muda! Au jingine tena!


Nasubiri njombe au iringa wajibu mapigo ya kaskazini, Mungu awaepushie mbali

Kaskazini sio mahala pakuishi
Njombe na iringa sio pahala pakuishi
toa iringa weka geita wewe.
siku hz mara wao wameokoka.
 
Back
Top Bottom