Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Vipi lakini unaendeleaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi lakini unaendeleaje?
Na wajane wengi wapo kaskazini kuliko pwaniMauaji ya kutisha hufanyika sana bara kuliko pwani. Fanya tafiti utagundua hili.
Ndoa mpaka kifo kiwatenganishe inawatesa sana wanandoa mwisho wa siku ndio hayo yanatokeaKwa utafiti upi au takwimu zipo ?au ume kurupushwa TU na kuropoka.
Umemseti vipi?Kama unavyokuwa makini na watu pia uwe makini sana na watu wakaribu yako hasa mkeo,mimi nimemseti mke wangu hawezi kuniua wala kunifanyia ishu yoyote mbaya
Oa weweeKATAA NDOA
Wanafiki pia.Hicho kifo ni cha kulipiza kisasi tu
Inaoneonekana
Mtu mumkate mapanga,mumlawiti na mumuuwee ehh
Kila siku nasema hakuna watu wenye roho mbaya kama watz
Ova
Oyaa mbona umebadilisha Avatar pichaVipi lakini unaendeleaje?
Wachagga na Wameru s.....m
Mdomo nyamaza!
Can't play videoMUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty
View attachment 2904415
Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.
hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.
Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.
View attachment 2904421
View attachment 2904422
View attachment 2904423
View attachment 2904424
View attachment 2904425
View attachment 2904426
View attachment 2904427
Kumbe Leejay49 ni bonge la Mlibwende la kibantu namna hii...[emoji848][emoji4]Vipi lakini unaendeleaje?
Kama unavyokuwa makini na watu pia uwe makini sana na watu wakaribu yako hasa mkeo,mimi nimemseti mke wangu hawezi kuniua wala kunifanyia ishu yoyote mbaya
Mmh amna kitu.Kumbe Leejay49 ni bonge la Mlibwende la kibantu namna hii...[emoji848][emoji4]View attachment 2905761
i second you.Na wajane wengi wapo kaskazini kuliko pwani
Wee mkuu🧐🧐Kumbe Leejay49 ni bonge la Mlibwende la kibantu namna hii...[emoji848][emoji4]View attachment 2905761
By any means you have no right to kill[emoji120]Kabla hujalaumu jiulize alimfanya nini mwanamke huyu??
(Ona watakavyokuja na kupanick wakati ndio reaction hizi hizi niliziona kwenye uzi wa aliyemchoma mkewe kwa gunia 2 za mkaa)
nashangaa roho mbaya hiyo hatuthubutu kuielekeza kwa kubwa la maadui wenyewe the ccmHicho kifo ni cha kulipiza kisasi tu
Inaoneonekana
Mtu mumkate mapanga,mumlawiti na mumuuwee ehh
Kila siku nasema hakuna watu wenye roho mbaya kama watz
Ova
toa iringa weka geita wewe.Hili tukio mbona limepita muda! Au jingine tena!
Nasubiri njombe au iringa wajibu mapigo ya kaskazini, Mungu awaepushie mbali
Kaskazini sio mahala pakuishi
Njombe na iringa sio pahala pakuishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu Mkoa mbn unanitisha.. nitarudi zangu DASLAM mimi..