Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha inatishaMUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty
View attachment 2904415
Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.
hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.
Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.
View attachment 2904421
View attachment 2904422
View attachment 2904423
View attachment 2904424
View attachment 2904425
View attachment 2904426
View attachment 2904427
Tanzania kama ilivyo kwa wafrika wengine ni watu wa roho mbaya, chuki na ukatiri.Hicho kifo ni cha kulipiza kisasi tu
Inaoneonekana
Mtu mumkate mapanga,mumlawiti na mumuuwee ehh
Kila siku nasema hakuna watu wenye roho mbaya kama watz
Ova
Mharifu tu akikamatwa basi wakamataji hawana adhabu nyingine....ni kama Fisi aliyepata mzogaKwann siku hizi ulawiti umeshamiri sana hapa nchini?
Duuuh hii ishakua hatariii sasa.Mharifu tu akikamatwa basi wakamataji hawana adhabu nyingine....ni kama Fisi aliyepata mzoga
Kweli kabisa nchi hii ina watu wana roho mbayaa shetani anasubiriTanzania kama ilivyo kwa wafrika wengine ni watu wa roho mbaya, chuki na ukatiri.
Tazama nchi inapata rais mkatili wao wanafurahia eti ndio rais bora.
Mioyo yao imejaa visirani visasi badala ya Upendo