kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
Mke anzaMme anza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke anzaMme anza
😃 😃 😃 😃Umeshashinda mkuu
Ova
Wanaume kama ndoa hatuziwezi tuziache tu zinatumalizaMUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty
View attachment 2904415
Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.
hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.
Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.
View attachment 2904421
View attachment 2904422
View attachment 2904423
View attachment 2904424
View attachment 2904425
View attachment 2904426
View attachment 2904427
Mkuu hata Kama hutaki Ndoa ndio useme kweli Ndoa ni Laana😆😆😆NAKAZIA
NDOA NI UJAMBAZI
NDOA NI MAUAJI
NDOA NI LAANA
NDOA NI BIASHARA YA KUPIGWA VITA
umetoa pesa ya mahari, unamlisha unamvisha japo haumwi, kisha unauliwa anasepa na mali zakoMkuu hata Kama hutaki Ndoa ndio useme kweli Ndoa ni Laana😆😆😆
Sio laana bwana.....wewe kwaninu ulishe anayetaka kukua? Shida ni wewe mlishaji.umetoa pesa ya mahari, unamlisha unamvisha japo haumwi, kisha unauliwa anasepa na mali zako
kama si Laana ni nini hiyo ?
Anajenga bwawani porini halafu anayalaumu maji kumletea mamba ndani.Sio laana bwana.....wewe kwaninu ulishe anayetaka kukua? Shida ni wewe mlishaji.
Noma mzee.kifo cha mateso sanaWanaume kama ndoa hatuziwezi tuziache tu zinatumaliza
Play videoMUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty
View attachment 2904415
Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.
hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.
Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.
View attachment 2904421
View attachment 2904422
View attachment 2904423
View attachment 2904424
View attachment 2904425
View attachment 2904426
View attachment 2904427
wanabadilikaga hao kwa tamaa za maliSio laana bwana.....wewe kwaninu ulishe anayetaka kukua? Shida ni wewe mlishaji.
Play videoMUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty
View attachment 2904415
Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.
hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.
Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.
View attachment 2904421
View attachment 2904422
View attachment 2904423
View attachment 2904424
View attachment 2904425
View attachment 2904426
View attachment 2904427
Tatito la Arusha wanawake ni wakatili kuliko wanaume ..
Ila inakuwaje unamuua mtu kwa kweli?
Haipendezi wanawake kuwa wakatiliKumbe inatakiwa wanaume ndo wawe wakatili kuliko wanawake!
Asante
HHAHAHAH... Wanawake watu wabaya sana kwa kweli. Halafu yakitokeaga mazali kama haya mwanaue ndiye anayerukaga ukuta, mbona mwanamke harukagi???
Hatari sanaUkiua unakua kama umerukwa akili, utajulikana tu
SanaUkiua unakua kama umerukwa akili, utajulikana tu
Umewaza mbali sanaKwa tabia hii ya kukimbilia kusema wauaji ni wake mtakua mnasaidia wauwaji wa kweli kutopatikana kirahisi.
Tuache kukariri,inawezekana marehemu katembea na mke wa mtu au kadhulumu au ni upinde kakutana na anti upinde wakaamua afe kifo cha aibu.
Hivi mnajua saikilojia ya wauaji? Huyo mama angekua anahusika angekua anajifanya kulia sana hata kusimama angejifanya hawezi.
😍😍Umewaza mbali sana