Arusha: Mwanaume auawa kikatili na kulawitiwa, mke atuhumiwa

Arusha: Mwanaume auawa kikatili na kulawitiwa, mke atuhumiwa

MUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty

View attachment 2904415

Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.

hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.

Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.

View attachment 2904421


View attachment 2904422


View attachment 2904423


View attachment 2904424


View attachment 2904425



View attachment 2904426




View attachment 2904427
Wanaume kama ndoa hatuziwezi tuziache tu zinatumaliza
 
MUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty

View attachment 2904415

Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.

hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.

Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.

View attachment 2904421


View attachment 2904422


View attachment 2904423


View attachment 2904424


View attachment 2904425



View attachment 2904426




View attachment 2904427
Play video
 
MUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty

View attachment 2904415

Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.

hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.

Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.

View attachment 2904421


View attachment 2904422


View attachment 2904423


View attachment 2904424


View attachment 2904425



View attachment 2904426




View attachment 2904427
Play video
 
Kwa tabia hii ya kukimbilia kusema wauaji ni wake mtakua mnasaidia wauwaji wa kweli kutopatikana kirahisi.
Tuache kukariri,inawezekana marehemu katembea na mke wa mtu au kadhulumu au ni upinde kakutana na anti upinde wakaamua afe kifo cha aibu.

Hivi mnajua saikilojia ya wauaji? Huyo mama angekua anahusika angekua anajifanya kulia sana hata kusimama angejifanya hawezi.
 
Kwa tabia hii ya kukimbilia kusema wauaji ni wake mtakua mnasaidia wauwaji wa kweli kutopatikana kirahisi.
Tuache kukariri,inawezekana marehemu katembea na mke wa mtu au kadhulumu au ni upinde kakutana na anti upinde wakaamua afe kifo cha aibu.

Hivi mnajua saikilojia ya wauaji? Huyo mama angekua anahusika angekua anajifanya kulia sana hata kusimama angejifanya hawezi.
Umewaza mbali sana
 
Back
Top Bottom