Arusha: Mwanaume auawa kikatili na kulawitiwa, mke atuhumiwa

Arusha inatisha
 
Hicho kifo ni cha kulipiza kisasi tu
Inaoneonekana
Mtu mumkate mapanga,mumlawiti na mumuuwee ehh
Kila siku nasema hakuna watu wenye roho mbaya kama watz

Ova
Tanzania kama ilivyo kwa wafrika wengine ni watu wa roho mbaya, chuki na ukatiri.

Tazama nchi inapata rais mkatili wao wanafurahia eti ndio rais bora.
Mioyo yao imejaa visirani visasi badala ya Upendo
 
Tanzania kama ilivyo kwa wafrika wengine ni watu wa roho mbaya, chuki na ukatiri.

Tazama nchi inapata rais mkatili wao wanafurahia eti ndio rais bora.
Mioyo yao imejaa visirani visasi badala ya Upendo
Kweli kabisa nchi hii ina watu wana roho mbayaa shetani anasubiri

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…