Arusha: Pale kwa Mromboo nimelishwa nyama ya nguruwe

Arusha: Pale kwa Mromboo nimelishwa nyama ya nguruwe

Hapo vip!!

Leo siku ya mwaka mpya, nikaona nimalizie siku pale kwa murombo kwa lengo la kupata nyama ya kuchomaa, nilipo ingia pale nilikuta pako busy sana ila nilipo waangalia watu wengi waliopo pale ni watu wa class ya kawaida sana ila wengi wanakunywa pombe sana.

Anyway nikaona sio hiyana ngoja nijichanganye na wenzangu. Nikaenda pale nikachagua nyama ila wakati nachagua kuna mwanaume wenzangu ametitazama sana kwa muda mrefu.

Alikuwa anakunywa sprite, nilipo agiza nilitafuta sehemu ya kukaa, yule bwana aliniita kwa ishara nikamuelewa, nilipi mkaribia akanisalimia kama tunafahamiana alafu akaniambia kuwa makini hapo hao jamaa wanachoma watakulisha nyama ya nguruwe, niliagiza moyo kwasababu napenda ulaini.

Kiukweli, baada ya ushauri huo nikamuambia jamaa nashukuru kwa ushauri nikaenda sehemu nikamuita mdada mmoja nikamuulize ukweli wa hilo jambo akaniambi ni kweli ila nimfichie siri.

Kiukweli nilidhishiwa nguvu, baada ya hapo nililipia hizo nyama ni
Kawaambia wanifungie kwenye foili kisha nikaenda kutupa ninapojua.

kwa muromboo sio sehemu salama, kuna ujanja wa kishamba sana pale ya watu kutaka kuwaumiza wengine ili tu wapate pesa. Sasa hivi nakula nyama iliyoandaliwa na mmasai at least wapo honest kama wazungu na wanahofu ya Mungu.

NB: naweza kutofautisha moyo wa nguruwe na wa mbuzi anyoshe kidole na sehemu wanayochoma kitimoto.

Sijawahi kuona wakichoma moyo na utumbo wa kitimoto.
Acha kuandika maujinga.Sasa hapo ni wapi wamekulisha nguruwe?Au unataka kuharibu biashara za watu?Kenge weye!
 
Kuwe na utaratibu moderators wakithibitisha uzi ni feki, una nia ovu waufute!!!

Watu wanapoteza muda kusoma na kukanusha!!!

Active
 
I see,wewe jamaa ni mzandiki na mfitini mkubwa,kwa taarifa yako moja ya eneo ambalo Halmashauri ya Jiji la Arusha kupitia Idara ya Afya na Mifugo ,wapo makini napo ni hapo kwa Moromboo,wapo Maafisa Mifugo,Maafisa Afya lakini pia wafanyabiashara wenyewe wanasimamiana,huwezi fanya huo uhuni uliosema

Changamoto iliyopo kwa sasa sasa ni MOSHI na KELELE toka kwa wahubiri uchwara wa dini ya kikristo ambao mwisho wa siku hulazimisha SADAKA kwa wateja.

Niwaombe Jiji hasa kitengo cha Mazingira kuzifanyia kazi changamoto hizi [Moshi na Kelele] haraka
 
Unaharibu biashara za watu kwa kuandika uwongo ili iweje mbuzi wamejaa hata hawajui wawaweke wapi pale hizi mambo mnafaidika nini kuharibu kazi za watu...
 
Hapo vip!!

Leo siku ya mwaka mpya, nikaona nimalizie siku pale kwa murombo kwa lengo la kupata nyama ya kuchomaa, nilipo ingia pale nilikuta pako busy sana ila nilipo waangalia watu wengi waliopo pale ni watu wa class ya kawaida sana ila wengi wanakunywa pombe sana.

Anyway nikaona sio hiyana ngoja nijichanganye na wenzangu. Nikaenda pale nikachagua nyama ila wakati nachagua kuna mwanaume wenzangu ametitazama sana kwa muda mrefu.

Alikuwa anakunywa sprite, nilipo agiza nilitafuta sehemu ya kukaa, yule bwana aliniita kwa ishara nikamuelewa, nilipi mkaribia akanisalimia kama tunafahamiana alafu akaniambia kuwa makini hapo hao jamaa wanachoma watakulisha nyama ya nguruwe, niliagiza moyo kwasababu napenda ulaini.

Kiukweli, baada ya ushauri huo nikamuambia jamaa nashukuru kwa ushauri nikaenda sehemu nikamuita mdada mmoja nikamuulize ukweli wa hilo jambo akaniambi ni kweli ila nimfichie siri.

Kiukweli nilidhishiwa nguvu, baada ya hapo nililipia hizo nyama ni
Kawaambia wanifungie kwenye foili kisha nikaenda kutupa ninapojua.

kwa muromboo sio sehemu salama, kuna ujanja wa kishamba sana pale ya watu kutaka kuwaumiza wengine ili tu wapate pesa. Sasa hivi nakula nyama iliyoandaliwa na mmasai at least wapo honest kama wazungu na wanahofu ya Mungu.

NB: naweza kutofautisha moyo wa nguruwe na wa mbuzi anyoshe kidole na sehemu wanayochoma kitimoto.

Sijawahi kuona wakichoma moyo na utumbo wa kitimoto.

Kwa mrombo nyama inayochomwa pale 90% ni Mbuzi, 4% ni Ngombe, 4% ni Kondoo, 1.5% ni Kuku na kama 0.5% Nguruwe. Sasa sijui ulitoka wapi hata kukutana na Kiti moto?
Nilifikiri mtu mgeni ataishia katikati ya Mbuzi, sasa wewe hata sijui ulichomea upande gani?
 
Hapo vip!!

Leo siku ya mwaka mpya, nikaona nimalizie siku pale kwa murombo kwa lengo la kupata nyama ya kuchomaa, nilipo ingia pale nilikuta pako busy sana ila nilipo waangalia watu wengi waliopo pale ni watu wa class ya kawaida sana ila wengi wanakunywa pombe sana.

Anyway nikaona sio hiyana ngoja nijichanganye na wenzangu. Nikaenda pale nikachagua nyama ila wakati nachagua kuna mwanaume wenzangu ametitazama sana kwa muda mrefu.

Alikuwa anakunywa sprite, nilipo agiza nilitafuta sehemu ya kukaa, yule bwana aliniita kwa ishara nikamuelewa, nilipi mkaribia akanisalimia kama tunafahamiana alafu akaniambia kuwa makini hapo hao jamaa wanachoma watakulisha nyama ya nguruwe, niliagiza moyo kwasababu napenda ulaini.

Kiukweli, baada ya ushauri huo nikamuambia jamaa nashukuru kwa ushauri nikaenda sehemu nikamuita mdada mmoja nikamuulize ukweli wa hilo jambo akaniambi ni kweli ila nimfichie siri.

Kiukweli nilidhishiwa nguvu, baada ya hapo nililipia hizo nyama ni
Kawaambia wanifungie kwenye foili kisha nikaenda kutupa ninapojua.

kwa muromboo sio sehemu salama, kuna ujanja wa kishamba sana pale ya watu kutaka kuwaumiza wengine ili tu wapate pesa. Sasa hivi nakula nyama iliyoandaliwa na mmasai at least wapo honest kama wazungu na wanahofu ya Mungu.

NB: naweza kutofautisha moyo wa nguruwe na wa mbuzi anyoshe kidole na sehemu wanayochoma kitimoto.

Sijawahi kuona wakichoma moyo na utumbo wa kitimoto.
Mkuu hofu ya mungu yupi????
 
Back
Top Bottom