Noel wa ruben
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 364
- 515
Mambo haya yalinifanya niwe wa kuonja na kusepa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujampata mjanja wako bado,usijiapizeNa ndo nishasema huo ujinga wa uchepukaji hauna nafasi kwangu
Sijajiapiza kwa sbb pia ni dhambi kwa imani yangu. Ila uamuzi ni wangu so nikisema nimesema na sifutiiii¹Hujampata mjanja wako bado,usijiapize
Kwani risasi lazima upige kifuani, nasikia mafunzo yao yanasema unaweza kumpiga risasi miguuni kama mtu anahatarisha amani hakuna ulazima kuua kwa ishu ndogo ya kipumbvHapo ukisoma kwa makini. Hiyo kesi wote watatu wana makosa pauline ana makosa, polisi ana makosa na marehemu pia ana makosa. Hata kama ni nyie mngekua ndo huyo polisi ni lazima mngejihami tu. Sasa kama marehemu angemkata kweri hilo panga? Ilikua ni lazima ajihami. Mim ndo maana sitokuja kuoa. Tena habari kama hizi ndo zinanikata moto kabisa.
ipo hewan mbona. Ccpinye unaznguaHahahahaha mzee baba unafeli mwanangu ..njoo Qatar ule watoto was kiarabu.
Sikupati Ile namba yako ipatikani mzee
Umeiona!!!!!?Askari wenye mafunzo ya kijeshi na wana bunduki wanashindwa vipi ku neutralize raia mwenye panga mpaka wampige risasi ya kifua?
Hii haiingii akilini kabisa kwa mtu mwenye kujielewa.
Mimi nimeitamukiwa usiku wa leo pia MkuuKwani mapenzi lazima niwe na wewe?
Hii kauli niliwahi kutamkiwa na mpenzi wangu miaka 15 iliyopita.
Lakini imenifanya niikumbuke hadi leo,, na kunifanya nisilazimishe mapenzi kwa mwanamke yeyote.
Askari angefuata ethics za kazi yake. Tukio hilo lilikuwa linamhusu personally kwa kupigiwa simu ya mkononi na marehemu,angetuma askari wengine kukwepa kuwa emotional involved.Inawezekana emotions ziliathiri maamuzi yake.
Tayari polisi wamepindisha kesi kumlinda mwenzao na kesi ya mauaji. This world is not fair
Ni Sifa Flani Hivi, Kumla Alie ndoani, Kuna Raha Yake Hivi, Sijui Unanielewa!Mkuu na hali halisi ni kuwa hata kama polisi alikuwa anachepuka na huyo mke wa mtu ataanza kumkwepa sasa baada ya kuwa mjane. Sijui hili jambo huwa lina siri gani lakini mara nyingi mwanamke ''anapendeka'' anapokuwa kwenye ndoa lakini mara akiachika wanaume wanaanza kumpiga chenga.
Hawa ndo wapo wengi kwa kizazi hiki.wajuaji hawaDah kuna wanawake wengne akir hawana na mwisho wake ndy huu mwanaume kuumia na kupoteza maisha kwa kulalamikia kitu ambacho ni cha kwel kabisa
Alaf mwanamke huyo ambae ni mke wako anampigia simu mchepuko wake aje akushikishe adab dah siyo fair hata kidogo