ARUSHA: Polisi hawara aua mume wa ndoa kwa risasi

ARUSHA: Polisi hawara aua mume wa ndoa kwa risasi

RPC anajua ukweli kabisa hivi unafungiaje watu ndani kwa nia ya kuwadhuru??? Huu ni uongo...Sasa Na Huyu dada ameita hawara ameua Mume kimachofuata ni Laana..Hata kama Polisi wakimtetea Mwenzao wewe mwanamke utalaniwa.
 
Hapo ukisoma kwa makini. Hiyo kesi wote watatu wana makosa pauline ana makosa, polisi ana makosa na marehemu pia ana makosa. Hata kama ni nyie mngekua ndo huyo polisi ni lazima mngejihami tu. Sasa kama marehemu angemkata kweri hilo panga? Ilikua ni lazima ajihami. Mim ndo maana sitokuja kuoa. Tena habari kama hizi ndo zinanikata moto kabisa.
Kwani risasi lazima upige kifuani, nasikia mafunzo yao yanasema unaweza kumpiga risasi miguuni kama mtu anahatarisha amani hakuna ulazima kuua kwa ishu ndogo ya kipumbv
 
Mama Samia Wadhibiti hawa watu na Mapema...Yaani Mtu anatuhumiwa kuchukua mke wa mtu na baadae anamuua mtu huyo huu upuuzi kabisa.
 
Mambo ya ndoa magumu sana
Mme ndiyo ashakatishwa uhai

Ova
 
Ndio hasara ya kurundika fm4 failure kwenye jeshi la polisi
Yaani ukisoma walivyopindisha hiyo kesi utajua kichwani hakuna kitu
 
Marehem angekuwa amepitia mafunzo ya kijeshi...ata mgambo or Jkt!!!! Nadhan asingekufa:

How come umvamie kibwege na panga ... Askari alieshika SMG...Sub machine gun...silaha ambayo ikikohoa tu...risasi yake inatoka speed ya viwanja 17 vya mpira wa miguu kwa sekunde 02.1...

Silaha ambayo...ndani ya meter 18... Tofali ya block inatobolewa kwa nchi12....na kupenya!!!

Silaha ambayo risasi inapoingia ni tofaut na inapotokea ususan ukiwa karibu;;

N.B
Ni Muhimu sana kama una afya njema....kujiepusha na migogoro isio ya lazima:
 
Dah kuna wanawake wengne akir hawana na mwisho wake ndy huu mwanaume kuumia na kupoteza maisha kwa kulalamikia kitu ambacho ni cha kwel kabisa
Alaf mwanamke huyo ambae ni mke wako anampigia simu mchepuko wake aje akushikishe adab dah siyo fair hata kidogo
 
Kwani mapenzi lazima niwe na wewe?

Hii kauli niliwahi kutamkiwa na mpenzi wangu miaka 15 iliyopita.

Lakini imenifanya niikumbuke hadi leo,, na kunifanya nisilazimishe mapenzi kwa mwanamke yeyote.
Mimi nimeitamukiwa usiku wa leo pia Mkuu
 
Askari angefuata ethics za kazi yake. Tukio hilo lilikuwa linamhusu personally kwa kupigiwa simu ya mkononi na marehemu,angetuma askari wengine kukwepa kuwa emotional involved.Inawezekana emotions ziliathiri maamuzi yake.

kwani hakuna askari wanafahamiana na raia wake za watu personally???

kosa alilofanya marehem ni kumhalalishia askari kumuua,kwa kutala kumdhuru na panga.

ni wakati upi askari atatumia bunduki aliyopewa??
1,ikiwa mharifu anahatarisha maisha yake,ya watu au mtu mwingine au ya askari mwenyewe.
2,ameshika silaha inayoweza kuua ama kujeruhi kwa mbali na ameonyesha nia ya kuitumia mf upinde,bunduki,bomu nk.
 
Mkuu na hali halisi ni kuwa hata kama polisi alikuwa anachepuka na huyo mke wa mtu ataanza kumkwepa sasa baada ya kuwa mjane. Sijui hili jambo huwa lina siri gani lakini mara nyingi mwanamke ''anapendeka'' anapokuwa kwenye ndoa lakini mara akiachika wanaume wanaanza kumpiga chenga.
Ni Sifa Flani Hivi, Kumla Alie ndoani, Kuna Raha Yake Hivi, Sijui Unanielewa!
 
Dah kuna wanawake wengne akir hawana na mwisho wake ndy huu mwanaume kuumia na kupoteza maisha kwa kulalamikia kitu ambacho ni cha kwel kabisa
Alaf mwanamke huyo ambae ni mke wako anampigia simu mchepuko wake aje akushikishe adab dah siyo fair hata kidogo
Hawa ndo wapo wengi kwa kizazi hiki.wajuaji hawa
 
Back
Top Bottom