Pre GE2025 ARUSHA: Rais Samia alirudishia Kanisa Katoliki eneo lao pamoja na Tsh milioni 500 zilizochukuliwa na Halmashauri ya Jiji

Pre GE2025 ARUSHA: Rais Samia alirudishia Kanisa Katoliki eneo lao pamoja na Tsh milioni 500 zilizochukuliwa na Halmashauri ya Jiji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.

Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa ufafanuzi juu ya eneo la kanisa katoliki walilokuwa wakimiliki kwa siku nyingi na wakanyang'anywa na badae wakatakiwa kulinunua tena na wala eneo hilo halikuwa la serikali ila viongozi waliyokuwepo walikubali kupokea fedha ambazo hawakustahili.

"Jana nimezungumza na Mhe. Rais Samia kumueleza jambo hili na akanambia kwamba, Niwaelekeze Mkoa pamoja na Jiji kuwa eneo hilo lilejeshwe haraka kanisa mara moja na fedha hizo Milioni 500 zilejeshwe kanisani mara moja". Amesema Mchengerwa.

"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.

..vipi kuhusu uanachama wetu OIC?

..tunachelewa kupata misaada, na mikopo isiyo na riba.
 

Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.

Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa ufafanuzi juu ya eneo la kanisa katoliki walilokuwa wakimiliki kwa siku nyingi na wakanyang'anywa na badae wakatakiwa kulinunua tena na wala eneo hilo halikuwa la serikali ila viongozi waliyokuwepo walikubali kupokea fedha ambazo hawakustahili.

"Jana nimezungumza na Mhe. Rais Samia kumueleza jambo hili na akanambia kwamba, Niwaelekeze Mkoa pamoja na Jiji kuwa eneo hilo lilejeshwe haraka kanisa mara moja na fedha hizo Milioni 500 zilejeshwe kanisani mara moja". Amesema Mchengerwa.

"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.
Mwendo wa kukemea maovu bado utaendelea. Hawa jamaa hawana uchawa kama uvccm
 
Samia nampenda sana Samia namkubali sana Samia ni Mama wa Taifa Samia tumuunge mkono jmn!

Nipo Kitambaa cheupe mpya Mbagala aisée watu wanakula bata kinomanoma *****!

Lazima nitafute chumba huku Dar!

Dah! Mnaojenga Dar nyie wanaume..

Samia....Mitano tena!

Mnyantuzu safarini kuelekea Kibololoni
Nshomile rubish! Utakuwa wa mipakani, maana.......
 

Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.

Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa ufafanuzi juu ya eneo la kanisa katoliki walilokuwa wakimiliki kwa siku nyingi na wakanyang'anywa na badae wakatakiwa kulinunua tena na wala eneo hilo halikuwa la serikali ila viongozi waliyokuwepo walikubali kupokea fedha ambazo hawakustahili.

"Jana nimezungumza na Mhe. Rais Samia kumueleza jambo hili na akanambia kwamba, Niwaelekeze Mkoa pamoja na Jiji kuwa eneo hilo lilejeshwe haraka kanisa mara moja na fedha hizo Milioni 500 zilejeshwe kanisani mara moja". Amesema Mchengerwa.

"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.
Bado kuna usakaji kura kwa njia za hadaa hivi?!
 
Sasa mmeenda kwenye kisababishi kilichofikisha hapo? Maana naona imeamuliwa kirahisi sana kama vile halikuwa tatizo,ilikuwaje mpaka kanisa wakalipia kiwanja chao? Ni wangapi watakutana na hiyo bahati ya mtende ya kurudishiwa mali waliyoporwa?hakuna wengine wenye changamoto kama hizo?rip Babu Rama.
 
Ni eneo lipi na lipo wapi?? Mungu ambariki mheshimiwa Rais kwa hili.. hapa Arusha Kuna UONEVU sana..kuna kipindi watu walipatwa na mikasa ya kunyang'anywa mali zao, kumbe mpaka taasisi nazo zilimyang'anywa mali... Mchengerwa hili ulilofanya la kugikisha hili kwa Rais barikiwa sana.

Huyo kijana ambae kwa sasa ni mbunge (Mzee wa shoti)kipindi akiwa mkuu wa mkoa aliumiza sana watu.. Yani unasingiziwa CHADEMA Ili ushughulikiwe. It was sad
Inamaana hili halikufika kwa Jerry Silaa mezani kwake kipindi kile akiwa Aridhi!!???
 
Kwani utaratibu na Sheria vinasemaje?
Mahakamani baadhi ya waamuzi wanachelewesha haki kwa maslahi yao binafsi, achaa Amiri Jeshi Mkuu aingilie kati,na katiba yetu inamruhusu kufanya hivyo kulinda watu wake na Tanzania kwa ujumla! Na ndiyo maana Katiba imempa Presidential power!! Mama Samia mitano tena!!
 
..vipi kuhusu uanachama wetu OIC?

..tunachelewa kupata misaada, na mikopo isiyo na riba.
Hiyo mikopo unataka ufanyie nini??

Au furaha yako ni kwa vile haina riba 🗑️🗑️🗑️🚮🚮🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom