Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

EricMan

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2017
Posts
3,050
Reaction score
5,420
Tukio lilianzia baada ya:

Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.

Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba

katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.

katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA


Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa


20241013_084142.jpg



UPDATE:
Nyumba ya bwana Ramji imevunjwa na wananchi na baada ya kuvunjwa walichimbua ardhini na kukuta baadhi ya vitu vilivyofungwa mithili ya vifurushi vidogo vya nguo.

Masweta takriban 16 ya watoto yalikutwa ndani
 

Attachments

  • 20241013_084551.jpg
    20241013_084551.jpg
    585.7 KB · Views: 11
  • 20241013_090456.jpg
    20241013_090456.jpg
    657.3 KB · Views: 10
  • 20241013_090340.jpg
    20241013_090340.jpg
    386.1 KB · Views: 9
  • 20241013_085436.jpg
    20241013_085436.jpg
    519.1 KB · Views: 8
  • 20241013_085255.jpg
    20241013_085255.jpg
    524.1 KB · Views: 8
  • 20241013_084250.jpg
    20241013_084250.jpg
    199.5 KB · Views: 10
  • 20241013_084332.jpg
    20241013_084332.jpg
    374.1 KB · Views: 11
Tukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya sokone one kukutwa ameuwawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.

Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba na kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba

katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.

katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA


Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.

Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa baada ya kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa

Taarifa zaidi unaweza zipata kwa
KusagaTv
GlobalTV
Uo ndo utajiri wa wachagga! Hii mijitu miuaji!
 
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.

Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa baada ya kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa

Taarifa zaidi unaweza zipata kwa
KusagaTv
Mungu ana namna nyingi za kuweka mambo bayana

Natoa wito
Wanasiasa jitafakarini
Malipo ni hapahapa duniani
 
.....
Kwa wapare...........acha tuone
Bado maelezo zaidi yanahitajika,kuelewa hizo risiti sio kazi ndogo.

Ada ya tsh 100,200,kwa ajili ya kifo mbona ni vitu visivyoeleweka?,Je ni vifo kweli au wameamua kutumia neno "Vifo" kumaanisha kitu kingine?

Pia inawezekana ni mchango wa chama kwa ajili ya rambirambi kwa waliofiwa.
 
Back
Top Bottom