Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ndani ya siku hio hio yaani masaa machache tuMbona balaa... huyo mtoto inasemekana kapotea kuanzia lini ?
Exactly...Mbona kama inaonekana ni risiti za malipo ya michango ya chama chao cha kufa na kuzikana?
Hakuna cha ajabu hapo
Uhuni tu et risti ya malipo ya vifo viwili
😅Uhuni tu et risti ya malipo ya vifo viwili
Mpare na mchaga ni kama kyupi na kota......mchaga kwenye ndumba ni mweupee,,,,ni wateja wakubwa wa ndumba za wapare na watu wengine wa Tangahao sio wachaga ni wapare
Soma baadhi ya risiti , tarehe za miaka ya 97 huko. Zisome vizuri.....
Bado maelezo zaidi yanahitajika,kuelewa hizo risiti sio kazi ndogo.
Ada ya tsh 100,200,kwa ajili ya kifo mbona ni vitu visivyoeleweka?,Je ni vifo kweli au wameamua kutumia neno "Vifo" kumaanisha kitu kingine?
Pia inawezekana ni mchango wa chama kwa ajili ya rambirambi kwa waliofiwa.
Hii si kawaida kwenye Zengo huwa wanaandika hivyo ?
Hayo ni mambo.madogo tu kwani huyo mtoto ni muarabu ?kama siyo basi ni sihafu tu. MsinibwekeeTukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya sokone one kukutwa ameuwawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250