NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Kifo ni kifo tuu.......hakuna cha kujadili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio pigia mstari kabisa...............matajiri wengi wa kaskazini wanaotumia ndumba ,,wataalam wao ni kutoka upareni na mkoa wa TangaKwamba na wewe ni mshirikina?
View attachment 3123297
Kitabu kilichohifadhi risiti
sahihiNa unakuta wanafanya hizo kazi kwa ajili ya matajiri fulani au wanasiasa fulani
Mbona hao Wapare na watu wasizitumie wenyewe wasizitumie kuwa matajiri?Ndio pigia mstari kabisa...............matajiri wengi wa kaskazini wanaotumia ndumba ,,wataalam wao ni kutoka upareni na mkoa wa Tanga
Mbona mna madini na vivutio vya utalii na bado ni nchi masikiniMbona hao Wapare na watu wasizitumie wenyewe wasizitumie kuwa matajiri?
Mambo ya wrong turn hayo..Tukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya sokone one kukutwa ameuwawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Kabisakabisa aiseena 1997 nazan ni 2017
Hivi ni vitu viwili tofautiMbona mna madini na vivutio vya utalii na bado ni nchi masikini
Kwa upande wakoHivi ni vitu viwili tofauti
Sasa hizo risit zipo coded kwa miaka ya nyuma? Ushirikina kazi sanNi ndani ya siku hio hio yaani masaa machache tu
Aiseee watu makatili sana, mie kuchinja Kuku tu huwa nawaza siku nzimani ndan ya masaa machache maan hata waliomkuta walikuta bado wamoto moto