Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Nyumba za watu hasa matajiri zina siri nyingi wakuu, unadhani kumiliki pesa ni suala lelemama. Kuna tofauti kubwa sana ya kumiliki pesa na kupata pesa... Kama ni kupata pesa wote tunapata ila kipengele ni pale kwenye kuzimiliki sasa!
Mambo haya yanapatikana kwa familia maskini zinazoamini bila kuwa mshirikina hutoboi.
Angalia nyumba hiyo ni ya mtu fukara
 
Mpare na mchaga ni kama kyupi na kota......mchaga kwenye ndumba ni mweupee,,,,ni wateja wakubwa wa ndumba za wapare na watu wengine wa Tanga
Watu wa Tanga unawasingizia tu. Wapo wachaga ambao wanaogopa kwenda kwao. Hata wakienda kipindi cha Xmass wanadanganya muda wa kuondoka. Uchawi upo kila mahala.
 
Ila Wabongo uelewa mdogo sana , mbona hizo ni risiti za kawaida huyo atakuwa alikuwa anatunza risiti za maafa kwenye chama chao
Wewe ulie elewa vizuri tueleweshe, bado vifo 7 ina maanisha nini? Kama mtu kachangia kwenye vifo vilivyopita na kabakiza vifo saba, ndo tunavyotskiwa kuandika tukizingatia tafsida?? Mbona maneno yaliyotumika ni makali sana? Vifo 7 au misiba 7?

Uliwahi kusikia wapi watu wanatangaza eti kuna kifo kwa flani? Sahihi ni kuna msiba kwa flani. Ambao hawakutoa michango vifo vilivyooita? Auvn ambao hawakutoa michango misiba ilopta?

Hizo list zina aksi ukatili na kutokujali yani ni kabda jama ni vifo vya wanyama au ndege ndo vinavyo ongelewa kwenye hizo list na si vya binadamu.

Kwako hata hilo la mtoto kukutwa kafa kinyama bado jambo dogo tu ?
 
Watu wa Tanga unawasingizia tu. Wapo wachaga ambao wanaogopa kwenda kwao. Hata wakienda kipindi cha Xmass wanadanganya muda wa kuondoka. Uchawi upo kila mahala.
Wachaga kwenye ndumba weupe,,,hata hao wanaoogopwa huko kwao ni kwa ndumba za kununua
 
Screenshot_2024-10-13-11-19-27-466_com.mi.globalbrowser.jpg

Hii picha iliondoka na roho nane za wanaume,kama umewahi kusikia mtu amemrushia paka jiwe kesho yake hajaamka ndiyo inakuaga hivi.
 
Back
Top Bottom