Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Tukio lilianzia baada ya:

Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.

Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba

katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.

katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA


Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.

Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295

View attachment 3123250
Mnapenda sana kuvumisha vitu.
1. Habari hapa ni ya mauaji na kuficha maiti uvunguni.
2. Kuhusu risiti ni upumbavu mtupu.

Hii ni changizo zao za kufa na kuzikana.
Wapare na wachaga wana vyama kama hivi miaka na miaka
 
Yaani wanaua, halafu wanapeleka viungo then wanapewa risiti ?

Mlacha atakuwa mchaga, msangi atakuwa mpare, Shame upon you.

Hivi watu kama hao mmepata mwili mmepata risiti halafu mmtampeleka polisi?
Usiombee muwe na ndugu ambao wapo kwenye hivyo vyama,,,mtashangaa mnaandamwa na vifo tu kwenye familia zenu, kumbe kuna mtu huko analipa kodi kwenye chama chao,,,na hawa jamaa wana wanachama wengi sana ni kua makini tu hasa kwa ndugu msiowafahamu kiundani
 
Yaani wanaua, halafu wanapeleka viungo then wanapewa risiti ?

Mlacha atakuwa mchaga, msangi atakuwa mpare, Shame upon you.

Hivi watu kama hao mmepata mwili mmepata risiti halafu mmtampeleka polisi?
Mammndeji soma hizo risiri rafiki yangu.
Hizo ni za vyama vyenu wachaga na wapare mnajua vyema kuhusu vyama vya kufa na kuzikana
 
Usiombee muwe na ndugu ambao wapo kwenye hivyo vyama,,,mtashangaa mnaandamwa na vifo tu kwenye familia zenu, kumbe kuna mtu huko analipa kodi kwenye chama chao,,,na hawa jamaa wana wanachama wengi sana ni kua makini tu hasa kwa ndugu msiowafahamu kiundani
Ni chama gani hicho? Je wana ukwasi mkubwa ? Ngoja niwaze kwa kutulia isije kuwa wengine wako huko.
 
Mtabaki kua mafukara tu,, kila kitu ni uchawi. Akili za kimaskini. Hata mama ako anaweza kua mchawi japo anaenda kanisani kila siku.
Acha kujificha katika hoja ya kubaki kuwa Fukara na akili za kimasikini. Lengo lenu watu wasizungumzie mambo yenu ya kichawi chawi kwa kigezo cha kwamba wataonekana masikini,ili mpate uhuru wa kuendelea kuwamaliza binadamu wenzenu mitaani.
 
Ulikuwepo,?miambili ya Muda huo usingeweza kula Milo mitatu,think big,nimeitumia miambili ya enzi hizo nakumbuka tulikuwa tuna nunua njiwa mmoja

Hizo karatasi zimeandikwa Kwa Coded language ili kukwepa mkono wa sheria
Milo mitatu isingetosha lakini mlo mmoja au miwili iliyokamilika ilikuwa inatosha,hiki ni kipindi ambacho hata Tsh 5 ilikuwa bado inafanya manunuzi ya vitu vinavyotumika mezani

Mwaka 2002 bati Simba Dumu tunayonunua leo 28,500/= 30 gauge ilikuwa 2,500/= cement mfuko same 2,500/= na hiyo ni miaka mitano mbele (1997-2002)
 
Ni chama gani hicho? Je wana ukwasi mkubwa ? Ngoja niwaze kwa kutulia isije kuwa wengine wako huko.
Hehe ndo hivyo vyama vya kupangiana ratiba za safari hii nani anatoa kafara ya kifo kwao,,,,kuna wengine wapo vizuri kiuchumi na kuna wengine ni kawaida tu,,,ila mijini wapo wengi,,,kuna baadhi ya watu nawajua ...hio morogoro road kuanzia ubungo hadi kibaha kuna wanachama wengi tu
 
Mbona kama inaonekana ni risiti za malipo ya michango ya chama chao cha kufa na kuzikana?

Hakuna cha ajabu hapo
"Mbona kama...", inamaanisha huna uhakika na unachokisema halafu unakuja kuweka hitimisho la kufunga mjadala.

Aisee!
 
Kama hamjui ulizeni

JF kuna watu wajinga sijawahi ona nimeamini kupitia huu uzi

Kuna vyama vingi vya kufa na kuzikana. Mfano chama cha UMARO kiko miaka mingi na kimesajiliwa.

Hivi vyama watu wanachangia kwa mwaka. Mfano UMARO wanachangia elfu 60 kwa mwaka.

Hii michango ni kwa ajili ya maziko ya wanachama. Hapo unakuta mtu analipia kwenye kaya maziko ya watu watano ndio maana risiti imeandika bado wawili kati ya watano

Kufa ni kitu cha ajabu? Kila mtu atakufa. Wazungu wengi wanaandaa mpaka sehemu ya kuzikiwa.

Ukiwa mwanachama kwenye hicho chama. Basi ukitokea msiba wa mwnaachama wanachangia. Ndio maana gadna habashi alipofariki walimpatia mchango mtoto wake wa kike. Gadna mchaga lakini kwenye kikundi chao cha ofisi wengine sio wachaga

Msiba wa uchagani ni gharama sana
Minimum budget huwa inasoma 9 millions to 12 million

Sasa mnaunganisha swala la kukuta mfupa na swala la vyama vya kufa na kuzikana. Ni mambo mawili tofauti
Hivi vyama vya kufa na kuzikana ni kama vile vya kukopeshana wakati wa dhiki. Ni vyama vya kawaida mno havihusiani na uchawi.
 
Again hivi vyama vya kufa na kuzikana vipo kisheria kabisa, mfano niliotoa hapo juu UMARO. Wanachama hudunduliza hela kwa ajili ya ku cover misiba inapotokea nyumbani

Again,.misiba ya kaskazini ni gharama sana kuliko mnavyodhani kwa sababu ukiwa hujatoka kaskazini utaona ajabu.

Alipofariki babu yangu walikuja watu 600 hivi. Ila matanga ilikuwa na watu 800 sio poa

Hakuwa kwenye chama cha kufa na kuzikana hivyo hela ilitutoka mfukoni. Ila kama angekuwepo huwa wanatoa fungu kwa mfiwa

Kawaida wachaga kuzikwa nyumbani. Kusafirisha gari ya msiba kwenda Moshi minimum ni million 1 gari. Unakuta zinatola coster zaidi ya moja huku

Bado huko unapoenda hawajala na huku dar lazima msiba ulillala..

Nadhani nimewafungua macho kuhusu vyama vya kufa na kuzikana

Ila swala la kukutwa mkono huko halihusiqna na vyama hivi.

Ni chama ambacho tunaweza anzisha hata JF
 
Kama hamjui ulizeni

JF kuna watu wajinga sijawahi ona nimeamini kupitia huu uzi

Kuna vyama vingi vya kufa na kuzikana. Mfano chama cha UMARO kiko miaka mingi na kimesajiliwa.

Hivi vyama watu wanachangia kwa mwaka. Mfano UMARO wanachangia elfu 60 kwa mwaka.

Hii michango ni kwa ajili ya maziko ya wanachama. Hapo unakuta mtu analipia kwenye kaya maziko ya watu watano ndio maana risiti imeandika bado wawili kati ya watano

Kufa ni kitu cha ajabu? Kila mtu atakufa. Wazungu wengi wanaandaa mpaka sehemu ya kuzikiwa.

Ukiwa mwanachama kwenye hicho chama. Basi ukitokea msiba wa mwnaachama wanachangia. Ndio maana gadna habashi alipofariki walimpatia mchango mtoto wake wa kike. Gadna mchaga lakini kwenye kikundi chao cha ofisi wengine sio wachaga

Msiba wa uchagani ni gharama sana
Minimum budget huwa inasoma 9 millions to 12 million

Sasa mnaunganisha swala la kukuta mfupa na swala la vyama vya kufa na kuzikana. Ni mambo mawili tofauti
Hivi vyama vya kufa na kuzikana ni kama vile vya kukopeshana wakati wa dhiki. Ni vyama vya kawaida mno havihusiani na uchawi.
Shida sio risiti tu,,,,,na hivyo vilivyoandikwa humo,,,mbona vimekaa kama vina code ,yangekua mambo ya kawaida hata risit zingekua zimenyooka,,,,risiti ya 1997 tena kwa mazingira zilipokutwa zisingekua hivyo......naona wanachama mmebanwa pabaya mnahangaika kujichomoa
 
Mwisho samahani kwa maelezo mengi

Vyama vya kufa na kuzikana vingi vimeleta shida baada ya watu kuanza kula hela hizi

Tulipanga kuchanga kwenye ukoo wetu hela ilafika million 14, baba yangu mdogo akaiba million 8 na kuziweka kwenye business zake. Mpaka leo hazijarudi

Juzi niliwashawishi baadhi ya watu tuwe na list ya watu 200 tu. Ila hatitachanga kila mwezi

Chama chetu kitakuwa cha wanachama wanaosaodiana tu wakati shida ikitokea. Mfano kila mwanachama akitoa elfu 20, aliyepata matatizo atapa millions 4

Matatizo gani nayazungumzia hapa?
1. Mfano ajali
2. kufiwa na baba, Mama, mtoto na mke tu. Misiba mingine ya babu, bibi, mjomba haitohusiana
3. Kusapoti mchango wa harusi

Sio kila jambo mnarukia uchawi kutoka kilimanjaro.

Akili yako mkiona watu wanafanya maendeleo ni wachawi. Wewe ndio mchawi mkubwa

Unakuta mtu ana kiduka anauza mpaka saa saba za usiku, mnamuita mchawi. Kama angekuwa mchawi angelala hela ziingie sio kuwa anapambana toka asubuhi akichuma mnamuita mchawi

Tafuteni hela
 
Back
Top Bottom