Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Hawana tofauti

Tofauti ni kubwa sana.
Hata kwenye maisha interaction zidi ya mchaga vs interaction zidi ya Mpare ni vitu viwilo tofauti.
Mfano ishi jirani na Mpare au kwenye mazingira kazini deal na Mpare zidi ya Mchaga utaiona tofauti kubwa sana .
 
Shida sio risiti tu,,,,,na hivyo vilivyoandikwa humo,,,mbona vimekaa kama vina code ,yangekua mambo ya kawaida hata risit zingekua zimenyooka,,,,risiti ya 1997 tena kwa mazingira zilipokutwa zisingekua hivyo......naona wanachama mmebanwa pabaya mnahangaika kujichomoa
Code gani hapo ? Huyo mtu hajui tu kusoma na kuandika muwe mnatumia akili
 
Hapana.
Ni watu wawili tofauti sana.
Characters zao na hulka zao ni tofauti kubwa mno.
Kutoka mkoa mmoja haimanishi wako closely related.
La hasha.
Kuna makabila mengi tu wako mmoja lakini ni Watu tofauti sana.
Nayasema haya kama mpare ambae niliamua kabisa kuukana na kuukimbia ukoo,,najua mambo ya huko kaskazini................
 
Mwisho samahani kwa maelezo mengi

Vyama vya kufa na kuzikana vingi vimeleta shida baada ya watu kuanza kula hela hizi

Tulipanga kuchanga kwenye ukoo wetu hela ilafika million 14, baba yangu mdogo akaiba million 8 na kuziweka kwenye business zake. Mpaka leo hazijarudi

Juzi niliwashawishi baadhi ya watu tuwe na list ya watu 200 tu. Ila hatitachanga kila mwezi

Chama chetu kitakuwa cha wanachama wanaosaodiana tu wakati shida ikitokea. Mfano kila mwanachama akitoa elfu 20, aliyepata matatizo atapa millions 4

Matatizo gani nayazungumzia hapa?
1. Mfano ajali
2. kufiwa na baba, Mama, mtoto na mke tu. Misiba mingine ya babu, bibi, mjomba haitohusiana
3. Kusapoti mchango wa harusi

Sio kila jambo mnarukia uchawi kutoka kilimanjaro.

Akili yako mkiona watu wanafanya maendeleo ni wachawi. Wewe ndio mchawi mkubwa

Unakuta mtu ana kiduka anauza mpaka saa saba za usiku, mnamuita mchawi. Kama angekuwa mchawi angelala hela ziingie sio kuwa anapambana toka asubuhi akichuma mnamuita mchawi

Tafuteni hela
Upupu unaandika harafu unajifanya kuomba radhi,mbona huongelei tukio la mtoto kukutwa kauawa Kwa nyumba ya hizo list?
 
Mtabaki kua mafukara tu,, kila kitu ni uchawi. Akili za kimaskini. Hata mama ako anaweza kua mchawi japo anaenda kanisani kila siku.

Ni kweli hawa wachawi wanazaa.
Ndio maana huwa nashangaa wale ambao akiambiwaml
Mama yako au bibi yako Mchawi Eti wanakataa na kuwaka.
Hata wachawi wanazaa na kujukuu vile vile.
 
Back
Top Bottom