Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Nayasema haya kama mpare ambae niliamua kabisa kuukana na kuukimbia ukoo,,najua mambo ya huko kaskazini................
Kwa wapare kuwa na mambo ya kishirikina na uchawi kwa sana sijakataa lakini kwa jamii ya wachaga hapana aisee.
kumbuka kuzingatia general average ya population na sio umekutana na mchaga moja au wawili na Pengine hata sio full wachaga Pengine mama zao wazazi ni makabila yenye asili ya uchawi ukaanza kuzani wachaga wengi wako hivyo hapana aisee.
Mimi sio Mchaga lakini nasema ukweli na wengi wanaujua huu ukweli.
Na siku watakapoanza kujihusisha na uchawi na ushirikina wachaga kama ilivyo Upateni na Tanga baasi wajue watakwama na raha ya baraka iliyopo kwenye jamii zao uchagani itaanza kuwa historia.
Na maendeleo yataanza kurudi nyuma ,
Watakuwa kama vijiji vya Tanga na wilaya zake.
Uchagani vijijini kuna mtu anatembea peku peku kweli ?
Kuna nyuma za nyasi na tembe?
Labda kama sehemu ya utamaduni lakini sio sababu ya dhiki na njaa kali na laana za uchawi.
Moshi vijijini unakuta mtu hata Mzee kikongwe yuko smart kavaa Raba zake.
Walevi wanavaa viatu au malapa.
Hakuna funza wala mwenda peku.