Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
🤣🤣🤣shida ni ile address ya Usangi ndo maana wanarukaruka tu humu kujisafishaUpupu unaandika harafu unajifanya kuomba radhi,mbona huongelei tukio la mtoto kukutwa kauawa Kwa nyumba ya hizo list?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣shida ni ile address ya Usangi ndo maana wanarukaruka tu humu kujisafishaUpupu unaandika harafu unajifanya kuomba radhi,mbona huongelei tukio la mtoto kukutwa kauawa Kwa nyumba ya hizo list?
Unakula mkuu kwa mwaka 1997Ulikuwepo,?miambili ya Muda huo usingeweza kula Milo mitatu,think big,nimeitumia miambili ya enzi hizo nakumbuka tulikuwa tuna nunua njiwa mmoja
Hizo karatasi zimeandikwa Kwa Coded language ili kukwepa mkono wa sheria
Haihusiani na hili tukio.Again hivi vyama vya kufa na kuzikana vipo kisheria kabisa, mfano niliotoa hapo juu UMARO. Wanachama hudunduliza hela kwa ajili ya ku cover misiba inapotokea nyumbani
Again,.misiba ya kaskazini ni gharama sana kuliko mnavyodhani kwa sababu ukiwa hujatoka kaskazini utaona ajabu.
Alipofariki babu yangu walikuja watu 600 hivi. Ila matanga ilikuwa na watu 800 sio poa
Hakuwa kwenye chama cha kufa na kuzikana hivyo hela ilitutoka mfukoni. Ila kama angekuwepo huwa wanatoa fungu kwa mfiwa
Kawaida wachaga kuzikwa nyumbani. Kusafirisha gari ya msiba kwenda Moshi minimum ni million 1 gari. Unakuta zinatola coster zaidi ya moja huku
Bado huko unapoenda hawajala na huku dar lazima msiba ulillala..
Nadhani nimewafungua macho kuhusu vyama vya kufa na kuzikana
Ila swala la kukutwa mkono huko halihusiqna na vyama hivi.
Ni chama ambacho tunaweza anzisha hata JF
Watu wa Tanga unawasingizia tu. Wapo wachaga ambao wanaogopa kwenda kwao. Hata wakienda kipindi cha Xmass wanadanganya muda wa kuondoka. Uchawi upo kila mahala.
😂😂😂Ulihisi umebadili ID ?Halafu unabishana nae,,,basi wewe na huyo kijana akili zenu mnafanana,,,,,maana wenye akili kubwa hawapo huku
Mimi au wewe?? Nibadili kwa lipi?😂😂😂Ulihisi umebadili ID ?
Hizo risiti ni za mfumo wa miska ya zamaniHapana ni mwaka huu,wamecheza tu kama Pele
Wewe Mbuzi huoni majina ya Kipare hayoUo ndo utajiri wa wachagga! Hii mijitu miuaji!
Ushakutana na risiti ya miaka ya 90 au 80 siku za hivi karibuni?? Hata document tu ya mwaka 2010 tu hapo kama ilizagaa sehem lazima kuna namna inakuaHizo risiti ni za mfumo wa miska ya zamani
Kamaumezariwa 80s na ukawa unalipa ADA shure ya msingi na secondary na baadhi ya huduma za uma utakubaliana na mimi
Mkuu si una IDs tatu kwenye huu uzi ?Mimi au wewe?? Nibadili kwa lipi?
Sasa umepata shida gani?? Na we ongeza zako hata 5 umekatazwa??Mkuu si una IDs tatu kwenye huu uzi ?
Wapare wanajionesha,mchagga hajionyeshi kuwa anakuzimaTofauti ni kubwa sana.
Hata kwenye maisha interaction zidi ya mchaga vs interaction zidi ya Mpare ni vitu viwilo tofauti.
Mfano ishi jirani na Mpare au kwenye mazingira kazini deal na Mpare zidi ya Mchaga utaiona tofauti kubwa sana .
Wachagga, Wameru na Waarusha wana maendeleo sana lakini sio kwa Ndumba, Wazee wao wengi walienda Shule na wameshika shika vitengo serikalini na kwny Private OrganisationsMpare na mchaga ni kama kyupi na kota......mchaga kwenye ndumba ni mweupee,,,,ni wateja wakubwa wa ndumba za wapare na watu wengine wa Tanga
Mpare anajiamini maana mitamboni anaingia mwenyewe,,,mchaga hadi alipe mtu aingie mitamboniWapare wanajionesha,mchagga hajionyeshi kuwa anakuzima
Na mimi sijasema wote,,,,nawajua tu wengi waliopambana kwa nguvu na maarifa yao , mimi nasemea wale wanaotumia ndumba,,, connection zao zinaanziaga upareni na kwa waganga wa mkoa wa Tanga waki advance ndo wanaenda kwengine,,,,,,kama ulishasikia namna watu walivyofurumshwa kariakoo kipindi wanaingia wakinga,,,hadi ikabidi wajiweke na wao karibu na wakinga ndo mambo yaende,,,,wengi waliotoka nduki walikua wa pande hizo za kaskazini na wenzao wa TangaWachagga, Wameru na Waarusha wana maendeleo sana lakini sio kwa Ndumba, Wazee wao wengi walienda Shule na wameshika shika vitengo serikalini na kwny Private Organisations
Ila sikatai kuwa wapo wengi wanaoenda Tanga...hasa kwa MSISI, Ogopa sana hao...kukutoa kafara ni dakika chache tu
True ndioo maana wapare ni laana kwa taifaMpare anajiamini maana mitamboni anaingia mwenyewe,,,mchaga hadi alipe mtu aingie mitamboni
UnauwakikaJobless