Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Ulikuwepo,?miambili ya Muda huo usingeweza kula Milo mitatu,think big,nimeitumia miambili ya enzi hizo nakumbuka tulikuwa tuna nunua njiwa mmoja

Hizo karatasi zimeandikwa Kwa Coded language ili kukwepa mkono wa sheria
Unakula mkuu kwa mwaka 1997
Ninakumbuka sehemu moja mlandizi msongola amabapo sasa ndo kunaitwa mbagala kulipotokea mauaji ya OYA kuna jamaa alikuwa anaitwa chanya ubwabwa na maharage nusu 100 fully 150

Mtaani chai andazi au kitunbua 20 chapati 50 chai ya rangi sh 30 ya maziwa 50
Chips yai 250 chips kavu ni 150 chi0s yai kuku 500
Soda kipindi hicho ilikiwa inarange kati ya 150 hivi mpk 200
Na hata maeneo ya DSM sehemu nyingi ilikuwa hvyo kipindi hiko nauri ya daladala ni shi 100
Dar moro unaenda kwa 2000 nzanzibar meri flan inaitwa flyng horse bei ilikiwa ni 300 mpk 5000
Kumbuka miaka hiyo nyumba za kupanga cha giza 3000 kushuka chumba cha umeme kinzuri ni 5000 mpk 6000 hiyo mitaa ya nwananyamala magomeni kinondoni hadi sinza
 
Again hivi vyama vya kufa na kuzikana vipo kisheria kabisa, mfano niliotoa hapo juu UMARO. Wanachama hudunduliza hela kwa ajili ya ku cover misiba inapotokea nyumbani

Again,.misiba ya kaskazini ni gharama sana kuliko mnavyodhani kwa sababu ukiwa hujatoka kaskazini utaona ajabu.

Alipofariki babu yangu walikuja watu 600 hivi. Ila matanga ilikuwa na watu 800 sio poa

Hakuwa kwenye chama cha kufa na kuzikana hivyo hela ilitutoka mfukoni. Ila kama angekuwepo huwa wanatoa fungu kwa mfiwa

Kawaida wachaga kuzikwa nyumbani. Kusafirisha gari ya msiba kwenda Moshi minimum ni million 1 gari. Unakuta zinatola coster zaidi ya moja huku

Bado huko unapoenda hawajala na huku dar lazima msiba ulillala..

Nadhani nimewafungua macho kuhusu vyama vya kufa na kuzikana

Ila swala la kukutwa mkono huko halihusiqna na vyama hivi.

Ni chama ambacho tunaweza anzisha hata JF
Haihusiani na hili tukio.
 
Watu wa Tanga unawasingizia tu. Wapo wachaga ambao wanaogopa kwenda kwao. Hata wakienda kipindi cha Xmass wanadanganya muda wa kuondoka. Uchawi upo kila mahala.


Hapana ukweli usemwe bila upendeleo.
Mimi asili yangu ni Tanga lakini nasema ukweli bila unafiki Tanga kwa ushirikina uchawi iko juu.
Naona umeongea kinyume chake.
I used to be honest always even if kinachosemwa hakiko in my favor.
Ukweli usemwe tu.
Na ktk Tanganyika eneo ambalo Halina uchawi na ushirikina ni Uchagani na ndio maana wana afadhali ya maendeleo.
Wachaga wao labda mambo ya kuabudu mizimu tu kwa baadhi yao.
Na mwenye kuabudu mizimu hana madhara kwa mtu mwingine.
Kama ni Makosa ni yeye na Mungu wake.
Lakini Mchawi na mshirikina kazi yake ni kuharibu maisha ya mtu mwingine kuua, kutia magonjwa, kuharibu kazi na biashara, kufarakanisha ndoa, kusababisha ajali , kufunga watu uzazi wasizae n.k
Halafu kuwa mkweli kuna jamii ambayo inaongoza kwa kwenda kwao kijijini kuzidi wachaga nchini Tanzania ?
Ni jamii gani hiyo?
 
Hizo risiti ni za mfumo wa miska ya zamani
Kamaumezariwa 80s na ukawa unalipa ADA shure ya msingi na secondary na baadhi ya huduma za uma utakubaliana na mimi
Ushakutana na risiti ya miaka ya 90 au 80 siku za hivi karibuni?? Hata document tu ya mwaka 2010 tu hapo kama ilizagaa sehem lazima kuna namna inakua
 
Mpare na mchaga ni kama kyupi na kota......mchaga kwenye ndumba ni mweupee,,,,ni wateja wakubwa wa ndumba za wapare na watu wengine wa Tanga
Wachagga, Wameru na Waarusha wana maendeleo sana lakini sio kwa Ndumba, Wazee wao wengi walienda Shule na wameshika shika vitengo serikalini na kwny Private Organisations

Ila sikatai kuwa wapo wengine wanaoenda Tanga...hasa kwa MSISI, Ogopa sana hao...kukutoa kafara ni dakika chache tu
 
Wachagga, Wameru na Waarusha wana maendeleo sana lakini sio kwa Ndumba, Wazee wao wengi walienda Shule na wameshika shika vitengo serikalini na kwny Private Organisations

Ila sikatai kuwa wapo wengi wanaoenda Tanga...hasa kwa MSISI, Ogopa sana hao...kukutoa kafara ni dakika chache tu
Na mimi sijasema wote,,,,nawajua tu wengi waliopambana kwa nguvu na maarifa yao , mimi nasemea wale wanaotumia ndumba,,, connection zao zinaanziaga upareni na kwa waganga wa mkoa wa Tanga waki advance ndo wanaenda kwengine,,,,,,kama ulishasikia namna watu walivyofurumshwa kariakoo kipindi wanaingia wakinga,,,hadi ikabidi wajiweke na wao karibu na wakinga ndo mambo yaende,,,,wengi waliotoka nduki walikua wa pande hizo za kaskazini na wenzao wa Tanga
 
Back
Top Bottom