Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Shida sio risiti tu,,,,,na hivyo vilivyoandikwa humo,,,mbona vimekaa kama vina code ,yangekua mambo ya kawaida hata risit zingekua zimenyooka,,,,risiti ya 1997 tena kwa mazingira zilipokutwa zisingekua hivyo......naona wanachama mmebanwa pabaya mnahangaika kujichomoa
Bro take it as you see it

Nakueleza kuwa hizo risiti sio jambo la ajabu kabisa.
Risiti haina code yeyote, nimeitambuq risiti kwa kuiona. Huyu ni mwanachama wa kufa na kuzikana. Uchagani vipo vingi sana


Jambo la ajabu ni kwa nini akutwe na mfupa wa mtu.
 
Tunazipenda sana,,,tena ukipita na v8 lako na juzi umezika mwanao,,, lazima tuseme umepata hilo v8 baada ya kutoa kafara mwanao
Sasa mkirudi makwenu hua mnaenda kulisha nini familia? Au huko vijiweni hua mnaomba omba hela
 
Tukio lilianzia baada ya:

Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.

Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba

katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.

katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA


Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.

Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295

View attachment 3123250
Heeeeee
 
Stori za mafukara hizi mkiwa vijiweni.
Sawa sisi mafukara ninyi washua mna nini cha kuringia zaidi ya ushirikina usiyo na kichwa wala miguu?mtu amejikaza kutunza mwanae kwa mapenzi makubwa kwa jasho na damu for almost 12 years leo wapumbavu fulani mnaenda kumpoka hiyo zawadi.

Na kabisa mnaona ni ujanja,huo siyo ujanja ni ujinga.
 
Tukio lilianzia baada ya:

Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.

Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba

katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.

katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA


Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.

Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295

View attachment 3123250
Hatimaye asiyejulikana amejulikana kwa msaada wa wananchi. Polisi walijaribu kumficha lakini wameshindwa. Jitihada zao zimeangukia pua.
 
Bro take it as you see it

Nakueleza kuwa hizo risiti sio jambo la ajabu kabisa.
Risiti haina code yeyote, nimeitambuq risiti kwa kuiona. Huyu ni mwanachama wa kufa na kuzikana. Uchagani vipo vingi sana


Jambo la ajabu ni kwa nini akutwe na mfupa wa mtu.
Kiasi na miaka ya hizo risiti ,,uchakavu wake na vilivyoandikwa ndo vinavyotia mashaka
 
Tukio lilianzia baada ya:

Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.

Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba

katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.

katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA


Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.

Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295

View attachment 3123250
Alafu utaskia anawaasa watu kuwa wapambane fursa zipo yeye Alianza Na punje YA Michele now anamiliki shamba la mpunga kumbe Ni uwongo
 
Wewe ulie elewa vizuri tueleweshe, bado vifo 7 ina maanisha nini? Kama mtu kachangia kwenye vifo vilivyopita na kabakiza vifo saba, ndo tunavyotskiwa kuandika tukizingatia tafsida?? Mbona maneno yaliyotumika ni makali sana? Vifo 7 au misiba 7?

Uliwahi kusikia wapi watu wanatangaza eti kuna kifo kwa flani? Sahihi ni kuna msiba kwa flani. Ambao hawakutoa michango vifo vilivyooita? Auvn ambao hawakutoa michango misiba ilopta?

Hizo list zina aksi ukatili na kutokujali yani ni kabda jama ni vifo vya wanyama au ndege ndo vinavyo ongelewa kwenye hizo list na si vya binadamu.

Kwako hata hilo la mtoto kukutwa kafa kinyama bado jambo dogo tu ?
Misiba huwa inachangiwa kwenye Zengo , kama hujachanga misiba mitano itaonekana ,kama saba itaonekana ndiyo hayo aliyokuwa anaandika huyo mtu ,muwe mnatumia akili kidogo muda mwingine
 
Tukio lilianzia baada ya:

Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.

Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba

katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.

katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA


Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.

Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295

View attachment 3123250
Kiswahili ni lugha yetu sote, lakini uelewa na matumizi yake saazingine hutofautiana.

Nilivyoelewa mimi kwa namna zilivyoandikwa risiti hizo ni kama kumbu kumbu ya michango ya kuhani ya 'nzengo' ambayo jamii inakuwa imekubaliana.

Michango ambayo huchangwa kila msiba utokeapo.

Sasa waliotajwa majina, walikuwa ni wadaiwa sugu wa michangoo ya rambi rambi hizo.
 
Mpare na mchaga ni kama kyupi na kota......mchaga kwenye ndumba ni mweupee,,,,ni wateja wakubwa wa ndumba za wapare na watu wengine wa Tanga

Hapana.
Ni watu wawili tofauti sana.
Characters zao na hulka zao ni tofauti kubwa mno.
Kutoka mkoa mmoja haimanishi wako closely related.
La hasha.
Kuna makabila mengi tu wako mmoja lakini ni Watu tofauti sana.
 
Back
Top Bottom