Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
My dearest watu humu wengi div zero. Wataforce moja iwe mbiliIngewezekana ingekuwa poa sana hii
Shule inafuta ujinga.
Ni wazo zuri kukiwa na chama cha kusiaidiana kwenye mambo ya shida humu ia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My dearest watu humu wengi div zero. Wataforce moja iwe mbiliIngewezekana ingekuwa poa sana hii
Tunazipenda sana,,,tena ukipita na v8 lako na juzi umezika mwanao,,, lazima tuseme umepata hilo v8 baada ya kutoa kafara mwanaoStori za mafukara hizi mkiwa vijiweni.
UUKK Usangi mbona mnatapatapaMy dearest watu humu wengi div zero. Wataforce moja iwe mbili
Shule inafuta ujinga.
Ni wazo zuri kukiwa na chama cha kusiaidiana kwenye mambo ya shida humu ia
Bro take it as you see itShida sio risiti tu,,,,,na hivyo vilivyoandikwa humo,,,mbona vimekaa kama vina code ,yangekua mambo ya kawaida hata risit zingekua zimenyooka,,,,risiti ya 1997 tena kwa mazingira zilipokutwa zisingekua hivyo......naona wanachama mmebanwa pabaya mnahangaika kujichomoa
🤣🤣 Nimekuelewa mkuuMy dearest watu humu wengi div zero. Wataforce moja iwe mbili
Shule inafuta ujinga.
Ni wazo zuri kukiwa na chama cha kusiaidiana kwenye mambo ya shida humu ia
Sasa mkirudi makwenu hua mnaenda kulisha nini familia? Au huko vijiweni hua mnaomba omba helaTunazipenda sana,,,tena ukipita na v8 lako na juzi umezika mwanao,,, lazima tuseme umepata hilo v8 baada ya kutoa kafara mwanao
Sawa brother. Nakutakia siku njema, ndio naamka hapa sijanywa hata chai, sina nguvu za ku argue unnecessarily onlineUUKK Usangi mbona mnatapatapa
HeeeeeeTukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Sawa sisi mafukara ninyi washua mna nini cha kuringia zaidi ya ushirikina usiyo na kichwa wala miguu?mtu amejikaza kutunza mwanae kwa mapenzi makubwa kwa jasho na damu for almost 12 years leo wapumbavu fulani mnaenda kumpoka hiyo zawadi.Stori za mafukara hizi mkiwa vijiweni.
Hatimaye asiyejulikana amejulikana kwa msaada wa wananchi. Polisi walijaribu kumficha lakini wameshindwa. Jitihada zao zimeangukia pua.Tukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Kiasi na miaka ya hizo risiti ,,uchakavu wake na vilivyoandikwa ndo vinavyotia mashakaBro take it as you see it
Nakueleza kuwa hizo risiti sio jambo la ajabu kabisa.
Risiti haina code yeyote, nimeitambuq risiti kwa kuiona. Huyu ni mwanachama wa kufa na kuzikana. Uchagani vipo vingi sana
Jambo la ajabu ni kwa nini akutwe na mfupa wa mtu.
Sasa anawachinja ili iweje jaman mbona Kuna watu mashetani ivi😭Ni ndani ya siku hio hio yaani masaa machache tu
Alafu utaskia anawaasa watu kuwa wapambane fursa zipo yeye Alianza Na punje YA Michele now anamiliki shamba la mpunga kumbe Ni uwongoTukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Misiba huwa inachangiwa kwenye Zengo , kama hujachanga misiba mitano itaonekana ,kama saba itaonekana ndiyo hayo aliyokuwa anaandika huyo mtu ,muwe mnatumia akili kidogo muda mwingineWewe ulie elewa vizuri tueleweshe, bado vifo 7 ina maanisha nini? Kama mtu kachangia kwenye vifo vilivyopita na kabakiza vifo saba, ndo tunavyotskiwa kuandika tukizingatia tafsida?? Mbona maneno yaliyotumika ni makali sana? Vifo 7 au misiba 7?
Uliwahi kusikia wapi watu wanatangaza eti kuna kifo kwa flani? Sahihi ni kuna msiba kwa flani. Ambao hawakutoa michango vifo vilivyooita? Auvn ambao hawakutoa michango misiba ilopta?
Hizo list zina aksi ukatili na kutokujali yani ni kabda jama ni vifo vya wanyama au ndege ndo vinavyo ongelewa kwenye hizo list na si vya binadamu.
Kwako hata hilo la mtoto kukutwa kafa kinyama bado jambo dogo tu ?
Kiswahili ni lugha yetu sote, lakini uelewa na matumizi yake saazingine hutofautiana.Tukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
Hawana tofautihao sio wachaga ni wapare
Mpare na mchaga ni kama kyupi na kota......mchaga kwenye ndumba ni mweupee,,,,ni wateja wakubwa wa ndumba za wapare na watu wengine wa Tanga
Mkoa wa Arusha umeharibiwa na Wapare na watu kutoka Tanga. Wapare ni washirikina kupitiliza huku watu wa Tanga wakikomaa na uchoko.