Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka umeuona lakin ni 1991 mpaka 1997Mia mbili nadhani ni 200k
Mambo haya yanapatikana kwa familia maskini zinazoamini bila kuwa mshirikina hutoboi.Nyumba za watu hasa matajiri zina siri nyingi wakuu, unadhani kumiliki pesa ni suala lelemama. Kuna tofauti kubwa sana ya kumiliki pesa na kupata pesa... Kama ni kupata pesa wote tunapata ila kipengele ni pale kwenye kuzimiliki sasa!
Illogical!!!Mbona mna madini na vivutio vya utalii na bado ni nchi masikini
Watu wa Tanga unawasingizia tu. Wapo wachaga ambao wanaogopa kwenda kwao. Hata wakienda kipindi cha Xmass wanadanganya muda wa kuondoka. Uchawi upo kila mahala.Mpare na mchaga ni kama kyupi na kota......mchaga kwenye ndumba ni mweupee,,,,ni wateja wakubwa wa ndumba za wapare na watu wengine wa Tanga
Wapare, Wachaga, watanga na Tanzania yenu wote Lenu mojaa..Tuliza kinembe hicho, kuanzia lini Mlacha wakawa Wachaga?
Kwamba huyu ilibidi akadondoshe kifodi au coaster iliyojaa watu ili atimize hiyo idadi?kuna mtu anafiwa watu 11 tarehe ya moja?
katika risiti kuna jina linadaiwa vifo 11 kwa tarehe ya siku moja
how comes iwe mchango
Wewe ulie elewa vizuri tueleweshe, bado vifo 7 ina maanisha nini? Kama mtu kachangia kwenye vifo vilivyopita na kabakiza vifo saba, ndo tunavyotskiwa kuandika tukizingatia tafsida?? Mbona maneno yaliyotumika ni makali sana? Vifo 7 au misiba 7?Ila Wabongo uelewa mdogo sana , mbona hizo ni risiti za kawaida huyo atakuwa alikuwa anatunza risiti za maafa kwenye chama chao
Hicho si kitabu cha Ben Mtobwa! Kina uhusiano gani na mauaji?.View attachment 3123297
Kitabu kilichohifadhi risiti
Kwani mwaka 1997 sh 200 ilikuwa na thamani gani?Mia mbili nadhani ni 200k
Ulikuwepo,?miambili ya Muda huo usingeweza kula Milo mitatu,think big,nimeitumia miambili ya enzi hizo nakumbuka tulikuwa tuna nunua njiwa mmojaMia mbili ya mwaka 97 ilikuwa kubwa
Wachaga kwenye ndumba weupe,,,hata hao wanaoogopwa huko kwao ni kwa ndumba za kununuaWatu wa Tanga unawasingizia tu. Wapo wachaga ambao wanaogopa kwenda kwao. Hata wakienda kipindi cha Xmass wanadanganya muda wa kuondoka. Uchawi upo kila mahala.
Basi na kwa huyo jamaa ni hivyo hivyo,,,wengine wamekosa dira na ndumba zaoIllogical!!!
Unataka kusema mpaka leo hujajua kinachoifanya nchi kubaki maskini wa kutupwa ni kukosa viongozi makini wenye dira nzuri?