Punguza cha arusha kwanza labda ndo tutaelewanaNini hicho ambacho kimejengwa na serikali yako ya ccm? Ni hivo vimajengo viwili vitatu?
Kinana ni mtumiaji mzuri sana wa hicho kitu na bado ni katibu mkuu wako..Punguza cha arusha kwanza labda ndo tutaelewana
huezi changia mada mpaka utukane wakenya.....watu wa ovyo walikukosea nni?Waliowavalisha huo ukenya ni Wakenya na nyie, na nyie mnakubali kulinganishwa na watu Wa hovyo kama wakenya,
Hebu tuwe serious, sisi watz tuko better than hao wakenya.
Japo napakubali Arusha na Kaskazini kwa Ujumla sijaona sababu ya Wewe kukubali kuvalishwa ukenya, huko ndiko Kutojiamini.
Huo ni Mtazamo wako tu mkuu, halafu Usitupandikizie chuki bwana, hatuna tabia za Kugombana na watu kwa sababu zisizo za msingi,Watu wa iringa, mbeya na tarime walisha surrender kwa hawa mamangi - wao ndo wanawaamulia nani awaongoze na nini mfikirie huku ajira zote za madereva na viti maalum wanachukua. Mmebaki wapiga tarumbeta tu
Waambie waje bablaiHakuna sehemu kama Arusha.
Why travelling to New York or Paris if we have Arusha in here?
Nilichosema ndo ukweli, ila kwa kuwa ukishaambiwa ukweli UKAAMBIWA Useme ulivyosema na ndivyo ulivyoaminishwa endelea kuamini hivyo ila kama upo kwenye harakati zozote za maisha kama BIASHARA, KUTAFUTA KAZI,MAPENZI,AJIRA, KUAJIRI ipo siku utakumbumbuka haya maneno yanguHuo ni Mtazamo wako tu mkuu, halafu Usitupandikizie chuki bwana, hatuna tabia za Kugombana na watu kwa sababu zisizo za msingi,
Lakini kama wewe ni kiongozi tayari unafeli, maana unapandikiza chuki na Kuwagawa watu,
Relax, take things in a positive way!
Ni wabaguzi na ni wahuniwahuni hivi., sio watu Wa kuaminika,huezi changia mada mpaka utukane wakenya.....watu wa ovyo walikukosea nni?
Yani mimi nikitoka nje ya Arusha wakati nikiwa narejea ile nikianza kuingia Arusha najiona tofauti kabisa.Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Aje anisikie_ au aje nimpe mimba?chuganian njoo msikie bujibuji
Asanteee Mupenziiiii..Arusha kuzuri MNOO
OK well, watu wa kaskazini wanatupangia cha kufanya sisi Wa Kusini, its ok then, njoo utupige.Nilichosema ndo ukweli, ila kwa kuwa ukishaambiwa ukweli UKAAMBIWA Useme ulivyosema na ndivyo ulivyoaminishwa endelea kuamini hivyo ila kama upo kwenye harakati zozote za maisha kama BIASHARA, KUTAFUTA KAZI,MAPENZI,AJIRA, KUAJIRI ipo siku utakumbumbuka haya maneno yangu
A tabolarassa imparted with internal inferiority complexOK well, watu wa kaskazini wanatupangia cha kufanya sisi Wa Kusini, its ok then, njoo utupige.
umehama Kaskazini,
Sasa umekuja kusini..
You're the only problem here!
Kwahiyo la kujivunia ni kumlisha dagaa au kumchinjia kuku kisha kumfanyisha mikazi eeh...!Katika mambo ambayo sijawahi kuelewa ni hili la kulisha wanawake waliojifungua mavyakula mengi yenye mafuta. Sidhani hili ni la kujivunia.
Tofauti kubwa kama Mbingu na ArdhiKwahiyo unaweza kuwafananisha watu wa Arusha /Moshi na wa Dodoma /Singida ?
Mwambie huyo asiyejielewa.Unanishambulia bure mkuu,
Mimi mhehe Wa Kijijini Iringa.
Nimetamani tu huo utamaduni wa hao wafugaji,
Halafu sidhani kama ni maskini,
Maana kwa mantiki yao utajiri unapimwa kwa idadi ya Mifugo waliyonayo.
Thanks bro!A tabolarassa imparted with internal inferiority complex