"Arusha sio Tanzania"

Wewe wacha upumbavu wa ukabila, sisi watanzania na there is nothing special about people of Arusha. Tofauti ni mazingira ndiyo yana attract tourism na kuleta maendeleo. Hatahivyo, kimaendeleo Dar iko mbali ukilinganisha na Arusha. Lakini tusiwe tunakandiana na kujenga chuki baridi wakati tunaishi nyumba moja. Chachu kidogo uchachua donge zima, tukianza umimi na ukabila tutakuza chuki zisizo na faida kwa nchi yetu.
 
Kekerenkedee....!

Wewe umeona nilipozungumzia ukabila au una jipu ubongoni?

Unaweza kuthibitisha mahala nilipozungumzia ukabila?
 
Haujaelewa kinachoendelea, ishu hapa sio wachaga.
Ishu ni namna watu wa arusha wanavyotaka kutuaminisha kwamba arusha ni mkoa bora na ulioendelea kuliko mikoa yote Tanzania kitu ambacho si kweli.
Kuna mkenya mmoja kaanzisha hii hoja badala ya kumkemea kwa ujinga na ubaguzi wa kikenya kama ilivyo asili ya wakenya ila kuna wajinga toka arusha waanaanza kumpamba na kumsifia kwamba hoja yake ni sahihi kitu ambacho si kweli.
Kwa watu tunaopajua arusha na Tanzania na Afrika kwa ujumla arusha ni mkoa wa kawaida sana, hiyo sio sana sana ishu ni namana hao wajinga wa arusha wanavyoanza kujigamba kwa maneno ya kitoto na kibaguzi na ukiangalia kwa umakini hoja unaona kuna chembe za ukabila, ukanda na ubaguzi kwa mikoa mingine, hivyo hao watu lazima tuwakemee kwa nguvu zote.
Tanzania hatuna cha kujifunza kutoka kwa wakenya hadi tusubiri watuambie huu mkoa ni bora na huu si bora na sisi tubaki kushabikia huo ujinga badala ya kuwakemea
 
Kekerenkedee....!

Wewe umeona nilipozungumzia ukabila au una jipu ubongoni?

Unaweza kuthibitisha mahala nilipozungumzia ukabila?
Umetumia maneno ya kibaguzi na kuwa stereotype makabila mengine kama wavivu, waswahili n.k.
Kama hujitambui soma tena maneno unayoandika yaani ni mtu mwenye chuki, uchochezi na dharau.
Labda jipu la ubongo limekuota wewe ndiyo maana povu halikuishi!

Hahaha...huko wanakaa wakaskazini wengi zaidi.

Nyie waswahili zenu ni mwananyamala, Tandale, Manzese na wengine mmetupwa nje ya jiji kabisa

UKWELI UNAUMA....[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Watu wa pwani na Dsm wanafanana mambo manne:-

1) UVIVU

2) UZEMBE

3) MAJUNGU

4) PODAAAAAA....!
 
Kekerenkedee....!

Wewe umeona nilipozungumzia ukabila au una jipu ubongoni?

Unaweza kuthibitisha mahala nilipozungumzia ukabila?
Ukiendelea na hayo mawazo yako, Kuanzia leo wewe ID yako hapa JF itakuwa ni shoga (punga) wa kijijini arusha.
Nakuona tu jinsu ulivyochakazwa malinda huko kijijini arusha.
arusha pakawaida sana shoga, hivyo mawazo yako mfu kudhani kuna kitu cha ajabu hapo arusha futa kichwani kwako.
Tanzania ni nchi moja hakuna mkoa ulio bora kuliko mwingine na hakuna mkoa ulio kamilika kwa kila kitu hivyo sisi kama watanzania hatuna haja ya kubaguana kwa ukabila au ukanda.
 
Ww ndio hujanielewa. Kama hauna desturi ya kusoma comment za watu baada ya post (uzi) page kwa page bado hauwezi kunielewa kwann nimejikita ktk swala la wachaga. Uzi unaeleweka, njoo kwenye comment sasa, utajua nani ni nani na wapi ni wapi, (ukabila, ukanda) wengine wakihubiri utaifa (utanzania) huku wakitukana kabila la wachaga.
 
Hahaha...huo utoto wanatishiwaga wapaka poda wa Dsm na machoko wakaao vibarazani

Mimi napenda uibadilishe hata sasahv...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Hakuna mahali kama Arusha, endelea kuumia mpaka upasuke.

Vp mama yako kakutuma pia ulionje hili hogo?

Hakuna mahali kama Arusha, Tanzania hii.
 
Hahaha...aisee nyie wapaka PODA mnachekesha sana.

Sasa hapa waliojawa POVU ni kina nani kama si wewe na mwenzio?

Kisa tunasema hakuna mahali kama Arusha?

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Hahaha...aisee nyie wapaka PODA mnachekesha sana.

Sasa hapa waliojawa POVU ni kina nani kama si wewe na mwenzio?

Kisa tunasema hakuna mahali kama Arusha?

[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Arusha kuzuri sanaaa...mwisho wa thread.
Shoga (punga) wa kijijini arusha pole sana waambie na mashoga wenzako wa kijijini arusha kwamba hayo ni mawazo mfu.
arusha pakawaida sana
 
Shoga (punga) wa kijijini arusha pole sana waambie na mashoga wenzako wa kijijini arusha kwamba hayo ni mawazo mfu.
arusha pakawaida sana
Sawa Shoga la Dsm...mpaka poda.

Hakuna mahali kama Arusha hapa Tanzania.

Nyie ndio waasisi wa ushoga hapa Tanzania.
 
Mimi nimekubali ushoga na kila kitu.
Unakubalije ushoga wakati ushoga wameuanzisha na kuukomaza hao hao watoto wa Dsm?

Hapa ameumia kuona Wanaume wa Arusha tutafutao kwa jasho tunasifia nyumbani.

Kuna mahali kuna MASHOGA kama Dsm na pwani? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza, kulikoni jiji la Dar limejaa machangu toka arusha, kunani arusha?
mwisho wa thread
Kumbe kuwaita wapaka poda nyie Machoko wa dsm ndio imekuuma?

Haya karibu...ila najua lazima mama yako amekupa habari ya hogo hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…