"Arusha sio Tanzania"

"Arusha sio Tanzania"

Husilazimishe kujibiwa au kuniwekea jibu unavyotaka wewe. Jibu si hilo [emoji117] " Nimebahatisha kutokana na jinsi unavyo waongelea mashoga mno! Kwahiyo nika reason kwamba wewe uliachwa na shoga kwa sababu kadude hakikumtosheleza katika kinyesi."
[emoji23]
Kwanini wewe ulilazimisha kuamini hivyo?

Kwanini unabahatisha usiyoyajua?

Suala la kujua dushe la mwanaume lisiloridhisha alipaswa aseme mwanamke ama shoga.

Kwanini nisishangae wewe kusema hayo?
 
Kwa hoja hizi huu uzi haufai kuwa jukwaa hili tena, ni bora waupeleke jukwaa la habari na hoja mchanganyiko!

Mods please act accordingly
 
Kwanini wewe ulilazimisha kuamini hivyo?

Kwanini unabahatisha usiyoyajua?

Suala la kujua dushe la mwanaume lisiloridhisha alipaswa aseme mwanamke ama shoga.

Kwanini nisishangae wewe kusema hayo?
Inawezekana umechanganyikiwa na kuachwa na mashoga wewe. Naona hii issue ya ushoga umeivalia njuga! Wewe endelea nao kama unapenda kinyesi. I wish you all the best.
 
Arash Arusha, naskia ni kubwa kuliko Rwanda na burundi
 
Hivi kwanini jf kila uzi unaharibiwa na walio kinyume? Mjinga anaweza leta uzi wa kijinga kwa ujinga wake, werevu wamsaidie. Jf? Mi napaheshimu sana hapa, kuna watu wengi wenye mawazo chanya ktk kila idara, tumsaidie. Anaweza akabadilika akawa mtu poa kwa mawazo na misimamo yetu, tuwasaidie hawa watoto, najua wako humu pia na ni jukumu kwa waliopevuka kuwasaidia.

Mwenye akili na ni mtanzania angeweza je kuleta uzi kama huu huku akijua kwamba kwa uchumi wa sasa hivi hata Nairobi inaitegemea Dar, wa Arusha wangapi wako mikoani na kuwepo kwao huko ndiko kuifanyao Arusha kuwa ilivyo leo? Kwani maasai kwao ni wapi? Hawa ni watoto, si kiumri bali kifkra tu. Tuwasaidie, tuwarufishe kwenye mstari, uwezo wao wenyewe ni mdogo sana tuwasaidie, wengi vyakula vyao kwa asili ni protini tu, vinajenga miili tu, si vinginevyo.
 
Mada inazungumzia Arusha, lakini watu wengi ambao cyo wa Kaskazini wameingia moja kwa moja kutukana Wachaga (watu kutoka Kilimanjaro), cha ajabu uzi hajaanzisha mchaga. Ina maana kwamba mchaga anaishi na kufanya maendeleo Arusha na Kilimanjaro pekee?! Mtu yeyote kutoka kabila lolote unachukia Wachaga kama kabila ilhali wao hawakuchukii wewe, una wivu juu ya watu hawa. Hakuna acyejivunia kwake. Tena hapohapo ulipo kuna mchaga, kama ww cyo mnafiki anza nae huyo mmoja mweleze kisa cha chuki zako.
Hii ni Id mpya,
Uzi huu umeanzishwa na mkenya kwa makusudi.
And this is the outcome.
 
Hivi kwanini jf kila uzi unaharibiwa na walio kinyume? Mjinga anaweza leta uzi wa kijinga kwa ujinga wake, werevu wamsaidie. Jf? Mi napaheshimu sana hapa, kuna watu wengi wenye mawazo chanya ktk kila idara, tumsaidie. Anaweza akabadilika akawa mtu poa kwa mawazo na misimamo yetu, tuwasaidie hawa watoto, najua wako humu pia na ni jukumu kwa waliopevuka kuwasaidia.

Mwenye akili na ni mtanzania angeweza je kuleta uzi kama huu huku akijua kwamba kwa uchumi wa sasa hivi hata Nairobi inaitegemea Dar, wa Arusha wangapi wako mikoani na kuwepo kwao huko ndiko kuifanyao Arusha kuwa ilivyo leo? Kwani maasai kwao ni wapi? Hawa ni watoto, si kiumri bali kifkra tu. Tuwasaidie, tuwarufishe kwenye mstari, uwezo wao wenyewe ni mdogo sana tuwasaidie, wengi vyakula vyao kwa asili ni protini tu, vinajenga miili tu, si vinginevyo.
Mara zote huwa nasoma comments zako mpaka mwisho. Huwa napata kitu kutoka kwako.
You are blessed with inspiration,
Ningetamani na Vijana wengine wasome posts zako,
Mungu aendelee kukuweka, tunahitaji kujengwa na Mawazo ya Watu kama nyie.
 
Inawezekana umechanganyikiwa na kuachwa na mashoga wewe. Naona hii issue ya ushoga umeivalia njuga! Wewe endelea nao kama unapenda kinyesi. I wish you all the best.
U don need to wish me the best of anything broh....

Hv jus wondered how can u clarrify A man's dick yet u r of da same gender...?
 
Mara zote huwa nasoma comments zako mpaka mwisho. Huwa napata kitu kutoka kwako.
You are blessed with inspiration,
Ningetamani na Vijana wengine wasome posts zako,
Mungu aendelee kukuweka, tunahitaji kujengwa na Mawazo ya Watu kama nyie.
Inawezekana hata wakisoma hawatanielewa, ila cha kushukuru hata kama tumebaki wawili tu wa kuujua ukweli wa kitaifa, bado tuko na tutasimama imara hadi mwisho. Hatutayumbishwa na lolote lile. Tz kwanza, KWELI kwanza.
 
Wacha chuki na ukabila wewe. Ukabila ndiyo ulipigwa vita na Nyerere. Kama si nyerere haya makabila ya wahaya na wachaga wangeleta matatizo sana Tanzania.
Angalia Kenya na Uganda mpaka leo wanasumbuliwa na ukabila.
Nyiye wachaga wakina mangi mnafikiri mna own Tanzania, unaleta upumbavu hapa.
sa povu lanini ww ngoshaa..mi nilikua natania tuuu ila kweli ingewezekana ...tungeunda jamhuri yetu tu ya mlima kilimanjaro.. ninyi c hamtutaki bana..mnatuita wapiga dili..si kosa ninawaza tuu kwa sauti..ila ni utani najua haitawezekana wala hatutak
 
Unakurupukaga sana na wewe, unatuletea mambo yako ya ukenya hapa, hata hukumwelewa mleta mada...
Kwa taarifa yako pamoja na changamoto zilizopo kanda ya Kati na Magharibi, Tz imebalance maendeleo pande zote..
Kusini, magharibi na Kaskazini kote kuko poa
tembea uone tofauti
 
Back
Top Bottom