hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Wanafunzi wengi akiwemo mdogo wangu wa mwisho aliye form 1, Iliboru wamevamiwa na kuporwa vitu vyao wakati wakielekea stend kupanda magari baada ya kufunga shule.
Wengine wamevamiwa walipokuwa nje ya shule kwa manunuzi kidogo , wamenyang'anywa kila walichokuwa nacho kuanzia kadi ya benki hadi daftari.
Inaonekana vibaka wanaosifiwa na jamii kwa kuwaita wadudu walikuwa wamejiandaa na kuwalia timing wakifunga shule. Hii si ishara nzuri kabisa.
Tunaweza kuliona hili kama jambo dogo lakini taratibu Arusha itakuja kuwa chanzo cha magaidi watakaotowesha amani kabisa, kuna haja serikali ikaangalia hili suala mapema na kuridhibiti kuliko kuishi kwa wasiwasi na tahadhari kubwa kwenye nchi yako mwenyewe.
Wengine wamevamiwa walipokuwa nje ya shule kwa manunuzi kidogo , wamenyang'anywa kila walichokuwa nacho kuanzia kadi ya benki hadi daftari.
Inaonekana vibaka wanaosifiwa na jamii kwa kuwaita wadudu walikuwa wamejiandaa na kuwalia timing wakifunga shule. Hii si ishara nzuri kabisa.
Tunaweza kuliona hili kama jambo dogo lakini taratibu Arusha itakuja kuwa chanzo cha magaidi watakaotowesha amani kabisa, kuna haja serikali ikaangalia hili suala mapema na kuridhibiti kuliko kuishi kwa wasiwasi na tahadhari kubwa kwenye nchi yako mwenyewe.