Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Mimi kwa kiasi nawaelewa Chadema. Nahisi experience yao inawafanya kwenda overboard kuhakikisha hawaingii watu ambao ni mamluki...
..Chadema wako imara, na wana uchungu na chama chao, ndio maana ngumu zinatembea.
..Na siku Polisi wakiacha kuwalinda Ccm lazima watachezea kichapo toka kwa Chadema.
Walio muuwa wamenyamaza kimya!!!😂Laana ya Dk Magufuli ni kali sana
Je kifo huogopi?Daddy mi naogopa sana ngumi...
Utanitetea.
Polisi wasaidieni hao pimbi watauwanaMpo salama wanajukwaa?
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha wamejikuta wakiingia kwenye mgogoro mkubwa uliosababisha kurushiana maneno makali na hata ngumi, muda mfupi baada ya mkutano kati ya Naibu Katibu Mkuu Bara wa chama hicho Benson Kigaila na waandishi wa habari uliofanyika katika Ukumbi wa Golden Rose, Novemba 13, 2024.
Mashuhuda wameripoti kuwa vurugu hizo zilianza majira ya saa 12:30 jioni na ziliendelea kwa takribani saa moja. Wanachama hao walionekana wakirushiana lawama huku wakidai kuwa walishambuliwa na vijana wa hamasa wa chama hicho.
"Tumeshambuliwa na vijana wa hamasa bila sababu yoyote ya msingi," ameeleza mmoja wa wanachama, ambaye alisisitiza kuwa tukio hilo limeleta mgawanyiko ndani ya chama.
Mbali na malalamiko ya kupigwa, baadhi ya wanachama hao walimtupia lawama nyingi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, wakimtuhumu kuwa na mienendo inayowakatisha tamaa ndani ya chama. Wamesema kuwa mienendo hiyo imekuwa chanzo cha migogoro na kutokuelewana miongoni mwa wanachama.
View attachment 3151765
Chanzo: Jambo TV
Usijali babe, mm n mwembamba ila n mwamba ntakuteteaDaddy mi naogopa sana ngumi...
Utanitetea.
Kichapo cha kung fu au kichapo kwenye sanduku la kura?lazima watachezea kichapo toka kwa Chadema.
Kichapo cha kung fu au kichapo kwenye sanduku la kura?
Haha ninachojua kuchapana makonde ni dalili ya kukosekana kwa busara...unakumbuka vikao vya halmashauri ya Dsm jinsi madiwani wa Cdm walivyokuwa wanatembeza makonde kwa madiwani wa Ccm?
Haha ninachojua kuchapana makonde ni dalili ya kukosekana kwa busara...
Mtu akizidiwa nguvu ya hoja, hukunja ngumi.
Asingefeli kidato cha nne MangiLema ni genius, nadhani kwenye ukoo wenu nyote hakuna mtu mwenye reasoning kubwa kama Lema
Acha kuweweseka kama mwehu aliyesahau njia ya kwao. Aliyekuambia lema kapigwa nani ?Utawezaje kumpiga nabii aliye tabiri Kifo cha JPM? Oh aibu hii
Wangapi walifaulu kwa kuiba mitihani yao ya kidato cha nne hapo lumumba? The case of BashiteAsingefeli kidato cha nne Mangi
Ndo mana nakupenda daddy 🥰🥰 unanijali sana 🥰🥰Usijali babe, mm n mwembamba ila n mwamba ntakutetea
Ukweli unabakia pale pale ,Lema alikimbia umandeWangapi walifaulu kwa kuiba mitihani yao ya kidato cha nne hapo lumumba? The case of Bashite