Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Wewe uliishia wapi?Ukweli unabakia pale pale ,Lema alikimbia umande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliishia wapi?Ukweli unabakia pale pale ,Lema alikimbia umande
Hujawaona hapo wamasaiChagadema on fleek
tofauti kubwa sana ccm ina polisi chadema hawanaHakuna tofauti kati ya CCM na Chadema
Rekebisha sema sa100 ni munguCCM huwezi kufanya hayo maana Samia ni Mungu, Nchimbi ni Yesu, Makalla ni Malaika Gabriel.
chedema kuna watu lazima wakosolewwe na wasemwe kama kuna mahali they have messed up!
hapo chanzo itakuwa ccm waliingia kwenye mkutano huo chadema hawawezi kugombana hata siku mo9ja hao ni malaikaMpo salama wanajukwaa?
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha wamejikuta wakiingia kwenye mgogoro mkubwa uliosababisha kurushiana maneno makali na hata ngumi, muda mfupi baada ya mkutano kati ya Naibu Katibu Mkuu Bara wa chama hicho Benson Kigaila na waandishi wa habari uliofanyika katika Ukumbi wa Golden Rose, Novemba 13, 2024.
Mashuhuda wameripoti kuwa vurugu hizo zilianza majira ya saa 12:30 jioni na ziliendelea kwa takribani saa moja. Wanachama hao walionekana wakirushiana lawama huku wakidai kuwa walishambuliwa na vijana wa hamasa wa chama hicho.
"Tumeshambuliwa na vijana wa hamasa bila sababu yoyote ya msingi," ameeleza mmoja wa wanachama, ambaye alisisitiza kuwa tukio hilo limeleta mgawanyiko ndani ya chama.
Mbali na malalamiko ya kupigwa, baadhi ya wanachama hao walimtupia lawama nyingi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, wakimtuhumu kuwa na mienendo inayowakatisha tamaa ndani ya chama. Wamesema kuwa mienendo hiyo imekuwa chanzo cha migogoro na kutokuelewana miongoni mwa wanachama.
Pia soma: Wanachama wa CHADEMA Katavi wachapana makonde, Mbowe ashutumiwa kugawa pesa kwa wajumbe
Chanzo: Jambo TV
Kwa kweli ni Malaika hata yule mwizi wa Magari nae anajiita Nabii alieshindwa kutabiri ujio wa Lowassa (2015)hapo chanzo itakuwa ccm waliingia kwenye mkutano huo chadema hawawezi kugombana hata siku mo9ja hao ni malaika
Sio kama Lema Mkuu.Wewe uliishia wapi?
Uliishia level gani? Ulisoma wapi ? Bora lema aliyekimbia umande lakini mkweli na kuliko wewe uliyekariri ukapata dv 3 na ukaishia kuwa mbeya na mzushi usiyejua nyeupe na nyeusiSio kama Lema Mkuu.
Mangi ,nasisitiza kuwa Lema alikimbia umande ndio maana hajui afanye nini;mfanyabishara?mwanasiasa?Nabii? {Pathetic)Uliishia level gani? Ulisoma wapi ? Bora lema aliyekimbia umande lakini mkweli na kuliko wewe uliyekariri ukapata dv 3 na ukaishia kuwa mbeya na mzushi usiyejua nyeupe na nyeusi
Wewe hujakimbia umande uliishia level gani na unafanya nn?Mangi ,nasisitiza kuwa Lema alikimbia umande ndio maana hajui afanye nini;mfanyabishara?mwanasiasa?Nabii? {Pathetic)
Mangi siwezi tumia jina fake au unataka kunipachika jina la ukoo wenu? Lema anajadiliwa kwa upuuzi wake ambao unatia aibu jamaii ya KICHAGA.Wewe hujakimbia umande uliishia level gani na unafanya nn?
Wewe hujakimbia umande unajulikana wapi na kina nani?
Lema amekimbia umande sawa ila leo tunamjadili kwa jina lake wewe na mm tunatumia majina fake. Nani kamzidi mwenzie
Sijakimbia umande wa level ya Lema Mkuu,Wewe uliishia wapi?
Bado hujasema upuuzi wa lema ni upi. Bado hujasema kama hujakimbia umande uliishia ngazi gani ya elimu ili tujue wewe unacho cha kumzidi lena???Mangi siwezi tumia jina fake au unataka kunipachika jina la ukoo wenu? Lema anajadiliwa kwa upuuzi wake ambao unatia aibu jamaii ya KICHAGA.
Napenda upinzani ukue, lakini kwa bahati mbaya kinachoonekana ni kudhoofika kwa upinzani.Godless Lema amejikuta katika wakati mgumu leo ambapo Wanachadema wengi wamelalamika jinsi anavyoendesha Uchaguzi.
Ngumi zimefumuka.
CHADEMA wamepigana ngumi huko Arusha leo katika kikao cha kumchagua Mwenyekiti wa Mkoa.
Pia soma
- LGE2024 - Arusha: Godbless Lema awatimua Maofisa wa TAKUKURU kwenye semina ya Wagombea wa CHADEMA, adai Wameacha uozo ufanywe kwenye Uandikishaji
Lema hupenda sana Press C. Sijui kwanini bado hajaita Press C. kujibu tuhuma hizi. Tunamsubiri.Bado hujasema upuuzi wa lema ni upi. Bado hujasema kama hujakimbia umande uliishia ngazi gani ya elimu ili tujue wewe unacho cha kumzidi lena???
Upuuzi wa Lema;Bado hujasema upuuzi wa lema ni upi. Bado hujasema kama hujakimbia umande uliishia ngazi gani ya elimu ili tujue wewe unacho cha kumzidi lena???