Arusha: wafanyabiashara waliofumwa sokoni wakiwa wamenasiana Mwanaume amlipa mwenye mke million 3 kunasuliwa

Arusha: wafanyabiashara waliofumwa sokoni wakiwa wamenasiana Mwanaume amlipa mwenye mke million 3 kunasuliwa

Kwa wiki nzima imetokea hali ya taharuki katika jiji la Arusha liliwaacha watu midomo wazi ,Baada ya Mwanaume mmoja kufumwa akiwa amenasiana na mke watu wakiwa wanafanya mapenzi alfajiri katika soko kubwa la vyakula la kilombero lililopo katikati ya jiji.

Wafanyabiashara wa soko hilo wanaeleza ya Kuwa baada ya kushindwa kunasuana walipelekwa kituo cha afya cha levolosi iliyopo karibu na soko hilo lakini walishindwa na kupelekwa Mount Meru ambapo Mume wawanamke huyo alipigiwa simu na kudai million 3 ndipo awaachanishe, .

Mashuhuuda sokoni hapo ambao ni wafanyabiashara wenzao wa naendelea kueleza kuwa baada ya jamaa kukubali kutoa hicho kiasi walifanikiwa kunasuana na kurudi katika hali ya kawaida.
jamani pichaaaa
 
Kwa wiki nzima imetokea hali ya taharuki katika jiji la Arusha liliwaacha watu midomo wazi ,Baada ya Mwanaume mmoja kufumwa akiwa amenasiana na mke watu wakiwa wanafanya mapenzi alfajiri katika soko kubwa la vyakula la kilombero lililopo katikati ya jiji.

Wafanyabiashara wa soko hilo wanaeleza ya Kuwa baada ya kushindwa kunasuana walipelekwa kituo cha afya cha levolosi iliyopo karibu na soko hilo lakini walishindwa na kupelekwa Mount Meru ambapo Mume wawanamke huyo alipigiwa simu na kudai million 3 ndipo awaachanishe, .

Mashuhuuda sokoni hapo ambao ni wafanyabiashara wenzao wa naendelea kueleza kuwa baada ya jamaa kukubali kutoa hicho kiasi walifanikiwa kunasuana na kurudi katika hali ya kawaida.
Huyo mume bwege kweli...million tatu mbona ndogo
Mie ningesema sitaki chochote mbaki hivyo hivyo
 
Tangazo la biashara ya mganga. Ila hakuna ukweli wowote zaidi ya mchongo ili watu waaminishwe na kuingia mkenge.
 
Kwani dactar haya land anasemaje kwa hili.

Yaani serious madactar walishindwa kuwanasua hawa watu .
Mhona kama hakuna userious hapa
 
Kwa wiki nzima imetokea hali ya taharuki katika jiji la Arusha liliwaacha watu midomo wazi ,Baada ya Mwanaume mmoja kufumwa akiwa amenasiana na mke watu wakiwa wanafanya mapenzi alfajiri katika soko kubwa la vyakula la kilombero lililopo katikati ya jiji.

Wafanyabiashara wa soko hilo wanaeleza ya Kuwa baada ya kushindwa kunasuana walipelekwa kituo cha afya cha levolosi iliyopo karibu na soko hilo lakini walishindwa na kupelekwa Mount Meru ambapo Mume wawanamke huyo alipigiwa simu na kudai million 3 ndipo awaachanishe, .

Mashuhuuda sokoni hapo ambao ni wafanyabiashara wenzao wa naendelea kueleza kuwa baada ya jamaa kukubali kutoa hicho kiasi walifanikiwa kunasuana na kurudi katika hali ya kawaida.
Hehehehehe.........wajinga ndiyo waliwao
 
Back
Top Bottom