Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Ndio ipi hiyo mkuu😅Hapo Huenda Mkoloni Style
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ipi hiyo mkuu😅Hapo Huenda Mkoloni Style
na hapo hatapona masikini, ndio iyo dawa ilivyo, hata ukilipa ukanasuka anakuhesabia siku tu. akimbilie kwa Yesu hataka, aliye karibu naye amwambie tafadhali.Kwa wiki nzima imetokea hali ya taharuki katika jiji la Arusha liliwaacha watu midomo wazi ,Baada ya Mwanaume mmoja kufumwa akiwa amenasiana na mke watu wakiwa wanafanya mapenzi alfajiri katika soko kubwa la vyakula la kilombero lililopo katikati ya jiji.
Wafanyabiashara wa soko hilo wanaeleza ya Kuwa baada ya kushindwa kunasuana walipelekwa kituo cha afya cha levolosi iliyopo karibu na soko hilo lakini walishindwa na kupelekwa Mount Meru ambapo Mume wawanamke huyo alipigiwa simu na kudai million 3 ndipo awaachanishe, .
Mashuhuuda sokoni hapo ambao ni wafanyabiashara wenzao wa naendelea kueleza kuwa baada ya jamaa kukubali kutoa hicho kiasi walifanikiwa kunasuana na kurudi katika hali ya kawaida.
Mkuu unamaanisha Nini, hii story ni ya ukweli na pia nasikia huyo jamaa baada ya kulipa hela haikupita muda akaaga dunia...na hapo hatapona masikini, ndio iyo dawa ilivyo, hata ukilipa ukanasuka anakuhesabia siku tu. akimbilie kwa Yesu hataka, aliye karibu naye amwambie tafadhali.
ndio mwisho wa hiyo dawa, ukinasa tu, ukiona bado unapumua, kimbia nenda kaokoke,mpe Yesu Maisha yako ukokoke ili akuponye, la sivyo, ukishanasa hata ukilipa lazima ufe. ndio tabia ya hiyo dawa. ulipe utakufa usipolipa utang'ang'ania palepale hadi ufe. ila hakuna jambo linaloshindikana kwa Mungu.Mkuu unamaanisha Nini, hii story ni ya ukweli na pia nasikia huyo jamaa baada ya kulipa hela haikupita muda akaaga dunia...
Aliyekufa ni mwanamke sio mwanaume.Mkuu unamaanisha Nini, hii story ni ya ukweli na pia nasikia huyo jamaa baada ya kulipa hela haikupita muda akaaga dunia...
Nilikua siamini nikaona video ya wakenya walionasa jamaa anaambiwa zungusha kiuno itachomoka wapiiVideo iko wapi??
Heee😳😳Nilikua siamini nikaona video ya wakenya walionasa jamaa anaambiwa zungusha kiuno itachomoka wapii
jamaa aende akaokoke haraka, hiyo dawa naijua. aliye kariu naye amshauri. wengi tulitoka huko misri tukaviacha vinyago vyote hivyo.Huyo maza kafa... Ila jamaa ndio mzima. Unaambiwa jamaa alionywa zaidi ya Mara 3 aachane na huyo mwanamke haelewi kitu. Jamaa kaamua kumfanyizia mbaya mbaya..
Unataka video ya nini dogo?Video iko wapi??
Noma sana!jamani pichaaaa
Ok mkuu, hii story nilivyockia nimedata sanaAliyekufa ni mwanamke sio mwanaume.