Arusha: Watuhumiwa wa ugaidi waliosota gerezani kwa miaka 10 waachiwa huru

Arusha: Watuhumiwa wa ugaidi waliosota gerezani kwa miaka 10 waachiwa huru

Mara nyingi neno masheikh hutumika ili kuficha uovu wa baadhi ya watu. Unaweza kuta hapo hakuna sheikh hata mmoja.

Pili kesi nyingi za ugaidi upelelezi na ushahidi wake ni mgumu kuthibitisha na kumuhumu mtu moja kwa moja.

Ndio maana hata huko duniani wanachofanyaga ni kumalizana nao. Kuna mtu anaweza akawa ana finance makundi ya ugaidi ila si mshiriki..
 
Mara nyingi neno masheikh hutumika ili kuficha uovu wa baadhi ya watu. Unaweza kuta hapo hakuna sheikh hata mmoja.

Pili kesi nyingi za ugaidi upelelezi na ushahidi wake ni mgumu kuthibitisha na kumuhumu mtu moja kwa moja.

Ndio maana hata huko duniani wanachofanyaga ni kumalizana nao. Kuna mtu anaweza akawa ana finance makundi ya ugaidi ila si mshiriki..
Ngoja baba yako yamkute
 
Mahakama kuu kanda ya Arusha leo 16/06/2023 imewaachia huru watu 12 wakiwemo Mashehe waliosingiwa kesi ya Uongo ya Ugaidi.

Walifunguliwa kesi No. 65 ya 2022 na kunyimwa dhamana, ambako wamewekwa selo kwa zaidi ya miaka 10.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu atoe haki kwa wote waliotunga unyama huu, Amina.

View attachment 2659862
Kahtan ni yupi hapo ?
 
Ngoja baba yako yamkute
We bwege kweli sasa kama anahusika kwa nini asikamatwe. Kuachiwa haina maana hujatenda kosa, ila ni ushahidi haujanyooka.

Ngoja we siku ubakwe kisha aliyekubaka aachiwe kwa mapungufu ya ushahidi wakati wewe binafsi una ushahidi wa 100% kisha huna vielezo ndio utaelewa nisemacho.
 
We bwege kweli sasa kama anahusika kwa nini asikamatwe. Kuachiwa haina maana hujatenda kosa, ila ni ushahidi haujanyooka.

Ngoja we siku ubakwe kisha aliyekubaka aachiwe kwa mapungufu ya ushahidi wakati wewe binafsi una ushahidi wa 100% kisha huna vielezo ndio utaelewa nisemacho.
Tanzania kuna Magaidi ? usilishwe matango pori , kukataa ccm na dhuluma zake tangu lini ukawa Ugaidi ?
 
Mahakama kuu kanda ya Arusha leo 16/06/2023 imewaachia huru watu 12 wakiwemo Mashehe waliosingiwa kesi ya Uongo ya Ugaidi.

Walifunguliwa kesi No. 65 ya 2022 na kunyimwa dhamana, ambako wamewekwa selo kwa zaidi ya miaka 10.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu atoe haki kwa wote waliotunga unyama huu, Amina.

View attachment 2659862
Hawa wako ndani toka 2014 ! Na hao wametoka kisiasa na kutafuta uungaji mkono hao ni magaidi
 
Tanzania kuna Magaidi ? usilishwe matango pori , kukataa ccm na dhuluma zake tangu lini ukawa Ugaidi ?
Kwani magaidi wapo sayari ya mars, au venus, au jupiter??

Nigeria ipo sayari gani? Wale walionukisha westgate kenya ni sayari gani? Wale waliokamata mkoa wa Cabo Del Gado hapo msumbiji ni sayari gani au bara gani??

Unatia aibu na kinyaa sasa.
 
Back
Top Bottom