Arusha: Watuhumiwa wa ugaidi waliosota gerezani kwa miaka 10 waachiwa huru

Arusha: Watuhumiwa wa ugaidi waliosota gerezani kwa miaka 10 waachiwa huru

View attachment 2662639
MAHAKAMA Kuu kanda ya Arusha imewaachia huru Mashekhe tisa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya jinai namba 63 ya Mwaka 2022. Kwa kudaiwa kujihusisha na matukio ya kigaidi mwaka 2014.

Washtakiwa hao waliodaiwa kurusha Mabomu katika Bar ya Arusha Night Park na kusabisha kifo cha Mtu Mmoja mnamo April 13, 2014 ni pamoja na Abdalla Athumani, Ally Hamisi, Abdalla Wambura, Rajabu Ahamed, Hassan saidi, Ally Jumanne, Yasin sanga, Shambani Abdallah, na Ibrahim Herman,

Mbali na Mashekhe hawa tisa walioachiwa huru Mashekhe wengine kumi n wawili wenye kesi za ugaidi wamesalia Magereza wakisubiri hatma yao.
Baraza la katoliki watachukia
 
View attachment 2662639
MAHAKAMA Kuu kanda ya Arusha imewaachia huru Mashekhe tisa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya jinai namba 63 ya Mwaka 2022. Kwa kudaiwa kujihusisha na matukio ya kigaidi mwaka 2014.

Washtakiwa hao waliodaiwa kurusha Mabomu katika Bar ya Arusha Night Park na kusabisha kifo cha Mtu Mmoja mnamo April 13, 2014 ni pamoja na Abdalla Athumani, Ally Hamisi, Abdalla Wambura, Rajabu Ahamed, Hassan saidi, Ally Jumanne, Yasin sanga, Shambani Abdallah, na Ibrahim Herman,

Mbali na Mashekhe hawa tisa walioachiwa huru Mashekhe wengine kumi n wawili wenye kesi za ugaidi wamesalia Magereza wakisubiri hatma yao.
Safi
 
View attachment 2662639
MAHAKAMA Kuu kanda ya Arusha imewaachia huru Mashekhe tisa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya jinai namba 63 ya Mwaka 2022. Kwa kudaiwa kujihusisha na matukio ya kigaidi mwaka 2014.

Washtakiwa hao waliodaiwa kurusha Mabomu katika Bar ya Arusha Night Park na kusabisha kifo cha Mtu Mmoja mnamo April 13, 2014 ni pamoja na Abdalla Athumani, Ally Hamisi, Abdalla Wambura, Rajabu Ahamed, Hassan saidi, Ally Jumanne, Yasin sanga, Shambani Abdallah, na Ibrahim Herman,

Mbali na Mashekhe hawa tisa walioachiwa huru Mashekhe wengine kumi n wawili wenye kesi za ugaidi wamesalia Magereza wakisubiri hatma yao.
Waislam wanaonewa sana !
 
Wakiachiwa huru, kwahiyo Hilo bomu lilirushwa na nani?


Anawaachia ili kuhamisha mjadala ?.

Kwa staili hiiii atafanya mambo ya ajabu Kila siku.
 
SSS ana Siasa nyepesi sana ,zile za kufurahisha , sishangai ni kwann matukio ya kutosha yameongezeka Nchini.
 
Waislamu lazima mjitafakari.
Ni kwanini mnawafuga Magaidi ?

Kibiti
Mkuranga
Kilwa
Tanga
Zanzibar
Ni kambi za Magaidi wa Kiislamu na mnawalea kimya kimya bila kutoa taarifa kwa Serikali.

Magaidi wanaanza kuua watu bila hatia mpo kimya tu.
Hadi Serikali ianze kuwatafuta na mnawaficha sana.

Shida yenu ninini?

Huyo kijana huenda alikuwa Gaidi kweli. Wewe unajuaje kuwa hakuwa Gaidi
Mbona Hamza alikuwa gaidi na hakustukiwa hadi alipoanza kuua Polisi bila sababu na alikuwa Mwislamu pia.
Waislamu mna matatizo ya kisaikolojia.
Mnataka kusimika Islamic State bila kuangalia maslahi ya Dini nyingine.

Ndio maana sehemu nyingi za Waislamu zinakumbwa na vurugu na Ugaidi mwingi.
Mkiwa peke yenu ni vurugu. Mkichanganyika na wasio Waislamu ni vurugu.

Acheni mentality za Ugaidi enyi Waislamu.
Mnaitia aibu jamii yenu.

Huyo Allah kama anawapenda Waislamu tu. ni kwanini aliumba watu wasio kuwa Waislamu ?
 
Back
Top Bottom