Soma kama ilivyoandikwa , hakuna popote kwenye vitabu vya Mungu palipoelekeza tumsamehe ShetaniUnaomba mwenyezi Mungu atoe kisasi au awasamehe...
Labda turudie tena kuelimisha , Ni hivi watu hukamatwa na kuswekwa selo kwa miaka mingi bila kushitakiwa , sasa tukipiga kelele ndio wanashitakiwaHadi leo ni miaka mingapi mleta madaaa?
PUnguza jazba kwanza sheheee
Ngoja baba yako yamkuteMara nyingi neno masheikh hutumika ili kuficha uovu wa baadhi ya watu. Unaweza kuta hapo hakuna sheikh hata mmoja.
Pili kesi nyingi za ugaidi upelelezi na ushahidi wake ni mgumu kuthibitisha na kumuhumu mtu moja kwa moja.
Ndio maana hata huko duniani wanachofanyaga ni kumalizana nao. Kuna mtu anaweza akawa ana finance makundi ya ugaidi ila si mshiriki..
Kikwete hakua mkurupukaji kama magu,ukiona kikwete amewabana ndugu zake katika imani ujue it was beyond reasonable doubtKazi ya Kikwete hiyo! Usimuone anachekacheka ana roho mbaya tena ya kisasi kuliko shetani!
SHeheee nilipoweka rangi nyekendu pitiaLabda turudie tena kuelimisha , Ni hivi watu hukamatwa na kuswekwa selo kwa miaka mingi bila kushitakiwa , sasa tukipiga kelele ndio wanashitakiwa
We mjinga umeambiwa miaka 10, do the mathAlikuwa Shetani sana yule jamaa.
Ila inapokuja issue ya ugaidi!! Bora ninyamaze tu,angalau kwa sasa.Soma kama ilivyoandikwa , hakuna popote kwenye vitabu vya Mungu palipoelekeza tumsamehe Shetani
Usipoelewa kwa hayo niliyokueleza basi labda utakuwa na akili nyingi sana !SHeheee nilipoweka rangi nyekendu pitia
Sasa kwa nini hakuwapeleka mahakamani mapema ili haki itendeke kwa wakati?Kikwete hakua mkurupukaji kama magu,ukiona kikwete amewabana ndugu zake katika imani ujue it was beyond reasonable doubt
ccm haijawahi kusimamia hakiSasa kwa nini hakuwapeleka mahakamani mapema ili haki itendeke kwa wakati?
Kahtan ni yupi hapo ?Mahakama kuu kanda ya Arusha leo 16/06/2023 imewaachia huru watu 12 wakiwemo Mashehe waliosingiwa kesi ya Uongo ya Ugaidi.
Walifunguliwa kesi No. 65 ya 2022 na kunyimwa dhamana, ambako wamewekwa selo kwa zaidi ya miaka 10.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu atoe haki kwa wote waliotunga unyama huu, Amina.
View attachment 2659862
We bwege kweli sasa kama anahusika kwa nini asikamatwe. Kuachiwa haina maana hujatenda kosa, ila ni ushahidi haujanyooka.Ngoja baba yako yamkute
Kwahiyo ulitaka wasiachiwe kwa sababu Rais aliyepo ni muislam!Udini activated
Tanzania kuna Magaidi ? usilishwe matango pori , kukataa ccm na dhuluma zake tangu lini ukawa Ugaidi ?We bwege kweli sasa kama anahusika kwa nini asikamatwe. Kuachiwa haina maana hujatenda kosa, ila ni ushahidi haujanyooka.
Ngoja we siku ubakwe kisha aliyekubaka aachiwe kwa mapungufu ya ushahidi wakati wewe binafsi una ushahidi wa 100% kisha huna vielezo ndio utaelewa nisemacho.
Hawa wako ndani toka 2014 ! Na hao wametoka kisiasa na kutafuta uungaji mkono hao ni magaidiMahakama kuu kanda ya Arusha leo 16/06/2023 imewaachia huru watu 12 wakiwemo Mashehe waliosingiwa kesi ya Uongo ya Ugaidi.
Walifunguliwa kesi No. 65 ya 2022 na kunyimwa dhamana, ambako wamewekwa selo kwa zaidi ya miaka 10.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu atoe haki kwa wote waliotunga unyama huu, Amina.
View attachment 2659862
Kwani magaidi wapo sayari ya mars, au venus, au jupiter??Tanzania kuna Magaidi ? usilishwe matango pori , kukataa ccm na dhuluma zake tangu lini ukawa Ugaidi ?