Arusha: Watuhumiwa wa ugaidi waliosota gerezani kwa miaka 10 waachiwa huru

Baraza la katoliki watachukia
 
Safi
 
Waislam wanaonewa sana !
 
Wakiachiwa huru, kwahiyo Hilo bomu lilirushwa na nani?


Anawaachia ili kuhamisha mjadala ?.

Kwa staili hiiii atafanya mambo ya ajabu Kila siku.
 
SSS ana Siasa nyepesi sana ,zile za kufurahisha , sishangai ni kwann matukio ya kutosha yameongezeka Nchini.
 
Waislamu lazima mjitafakari.
Ni kwanini mnawafuga Magaidi ?

Kibiti
Mkuranga
Kilwa
Tanga
Zanzibar
Ni kambi za Magaidi wa Kiislamu na mnawalea kimya kimya bila kutoa taarifa kwa Serikali.

Magaidi wanaanza kuua watu bila hatia mpo kimya tu.
Hadi Serikali ianze kuwatafuta na mnawaficha sana.

Shida yenu ninini?

Huyo kijana huenda alikuwa Gaidi kweli. Wewe unajuaje kuwa hakuwa Gaidi
Mbona Hamza alikuwa gaidi na hakustukiwa hadi alipoanza kuua Polisi bila sababu na alikuwa Mwislamu pia.
Waislamu mna matatizo ya kisaikolojia.
Mnataka kusimika Islamic State bila kuangalia maslahi ya Dini nyingine.

Ndio maana sehemu nyingi za Waislamu zinakumbwa na vurugu na Ugaidi mwingi.
Mkiwa peke yenu ni vurugu. Mkichanganyika na wasio Waislamu ni vurugu.

Acheni mentality za Ugaidi enyi Waislamu.
Mnaitia aibu jamii yenu.

Huyo Allah kama anawapenda Waislamu tu. ni kwanini aliumba watu wasio kuwa Waislamu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…