Arusha: Wazazi Shule ya St. Jude waandamana kwa RC, TRA yakausha akaunti ya shule

Arusha: Wazazi Shule ya St. Jude waandamana kwa RC, TRA yakausha akaunti ya shule

Wazazi Maskini zaidi ya 2000 ambao watoto wao wanafadhiliwa kimasono katika shule ya St. Jude iliyopo Arumeru mkoa wa Arusha, wameandamana ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha wakitaka shule hiyo yenye mchepuo wa Kiingereza ifunguliwe ili watoto wao waliosimamishwa masomo kwa zaidi ya wiki mbili waweze kuendelea na masomo.

Wazazi hao wamedai kwamba mamlaka ya mapato Tanzania TRA imekausha akaunti yao kwa kuchota fedha zote zilizokuwa kwenye akaunti ya shule kwa madai kwamba shule hiyo haijalipa kodi ya serikali kwa muda mrefu na hivyo uongozi wa shule hiyo kulazimika kuwasimamisha masomo wanafunzi kwa kushindwa kujiendesha baada ya fedha zilizopo kwenye akaunti kuchukuliwa na TRA.

View attachment 1638958View attachment 1638959
Ok basi sawa
 
Naomba kuelimishwa ndugu zangu, TRA ina mamlaka gani ya kuchukua hela kwenye akaunti ya shule bila ya kutoa taarifa kwa wahusika? Ina maana serikali ina mamlaka hadi kwenye akaunti zetu binafsi?

Mwenye kuelewa hili naomba anielimishe na mimi.
Hilo nalo hujui?
 
Yawezekana aliyesema kua wanaosoma hapo ni watoto wa wenye pesa akawa anao uhakika,sidhani kama ni NGO inayosaidia watu maskini,wangeshindwa kuelewana.Wewe uko huko Mtowisa,hujui ya Arusha,unajua ya Lwanji na Ng'ongo.
Hili nalo ndio limechangia sana kwenye hi issue, Kuna mambo yapo nyuma ya pazia
 
Yawezekana aliyesema kua wanaosoma hapo ni watoto wa wenye pesa akawa anao uhakika,sidhani kama ni NGO inayosaidia watu maskini,wangeshindwa kuelewana.Wewe uko huko Mtowisa,hujui ya Arusha,unajua ya Lwanji na Ng'ongo.
Hili nalo ndio limechangia sana kwenye hi issue Kuna mambo mengi nyuma ya pazia
 
Hii shule kosa ililofanya ni kugoma kupeleka wanafunzi kwenye kampeni kipindi Cha uchaguzi sasa wameandikiwa Deni kubwa kuwakomoa. Ila nchi hii siasa imekuwa upumbavu wa kukomoana hyo shule ya mama mzungu Ina ethics zake sasa kuikaushia hela ni kukomoa wanafunzi waliokuwa wananufaika nayo
 
Tumeapisha COVID 19 dau lao kubwa hamna namba.

Tuna upgrade fedha inatakiwa
 
Hii shule ni Kama NGO inachukua watoto maskini sanawanasomeshwa happy mpaka form six na wengine mpaka chuo. Kama kungekua na shida Serikali ingekaa nao Kwanza kujua tatizo liko wapi.tunakoelekea Hali itakua tete sana.
Kosa la hii shule waligoma kuzoa wanafunzi na kuwavisha nguo za kiraia na kwenda kwenye kampeni za mgombea uraisi, sasa ndio wanakomeshwa
 
Wazazi Maskini zaidi ya 2000 ambao watoto wao wanafadhiliwa kimasono katika shule ya St. Jude iliyopo Arumeru mkoa wa Arusha, wameandamana ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha wakitaka shule hiyo yenye mchepuo wa Kiingereza ifunguliwe ili watoto wao waliosimamishwa masomo kwa zaidi ya wiki mbili waweze kuendelea na masomo.

Wazazi hao wamedai kwamba mamlaka ya mapato Tanzania TRA imekausha akaunti yao kwa kuchota fedha zote zilizokuwa kwenye akaunti ya shule kwa madai kwamba shule hiyo haijalipa kodi ya serikali kwa muda mrefu na hivyo uongozi wa shule hiyo kulazimika kuwasimamisha masomo wanafunzi kwa kushindwa kujiendesha baada ya fedha zilizopo kwenye akaunti kuchukuliwa na TRA.

View attachment 1638958View attachment 1638959
Serikali hii imejaa dhuluma!
 
Tatizo lingine katika hizo shule vigisuvigisu ni vyingi sana kwa watoto kupata nafasi katika shule hizo. Wengi wa watoto wanaosoma huko wazazi wao au walezi wao wanakipato kizuri tu, ila zinaitwa shule za watoto wa masikini.

Kuna total private wanalipa ada, na kuna total 100% wanaofadhiliwa; kuna wanaosaidika 100%!

Ninaamini dispute ipo kwenye kuthibitisha wanaosaidiwa vs wanaolipa; inaitaji busara na uvumilivu kila upande
 
I see. Kukwepa kodi ni kosa la jinai. Imekuwaje badala ya wahusika kufikishwa mahakamani TRA ikaushe akaunti ya Shule? Kuna tatizo mahali
Shule ile haifanyi biashara. Inawasaidia watoto wa Kitanzania wanaotoka kwenye Kaya masikini tena masikini kwelikweli ambao wengi wao ni Wajane.

Huu ni mzigo wa Serikali halafu mtu anajitokeza kuubeba yaani kuisaidia Serikali halafu eti unampa masharti kuwa ili unisaidie lazima Serikali nayo iwe sehemu ya msaada ule kwa kulipa kodi.
Aibu kwa Serikali. Yaani hata msaada wa watoto wa masikini wanakwapua?? Siwezi kushangaa kwani waliwahi kula rambi rambi ya tetemeko kule Kagera.
 
unasema Hivyo sababu hayajakukuta Ila TRA wana tatizo.

Wazazi Maskini zaidi ya 2000 ambao watoto wao wanafadhiliwa kimasono katika shule ya St. Jude iliyopo Arumeru mkoa wa Arusha, wameandamana ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha wakitaka shule hiyo yenye mchepuo wa Kiingereza ifunguliwe ili watoto wao waliosimamishwa masomo kwa zaidi ya wiki mbili waweze kuendelea na masomo.

Wazazi hao wamedai kwamba mamlaka ya mapato Tanzania TRA imekausha akaunti yao kwa kuchota fedha zote zilizokuwa kwenye akaunti ya shule kwa madai kwamba shule hiyo haijalipa kodi ya serikali kwa muda mrefu na hivyo uongozi wa shule hiyo kulazimika kuwasimamisha masomo wanafunzi kwa kushindwa kujiendesha baada ya fedha zilizopo kwenye akaunti kuchukuliwa na TRA.

View attachment 1638958View attachment 1638959
Nimeangaliwa mara kumi sijaona wanasemwa kuwa ni wazazi maskini hapo
 
Arusha msijifanye special. Elimu Ni bure nchi nzima nyie mnajidai mnapeleka watoto international. Sheria ifuatwe hao jamaa walipe Kodi mpaka nukta ya mwisho
 
Nilikuwepo kwenye hyo misa
Vicar General alisema shule inategemea mapato yake kutoka kw wafadhili wa Australia. Na hakuna mwanafunzi anaelipa ada, ni kwa ajili tu ya kusaidia watoto wanaotoka familia za kipato cha chini
Asa sijui kwa nn hadi misaada inatozwa kodi, wakati hamna faida wanayopata
Je hao watoto ni kweli wanatoka katika familia zilizokusudiwa kweli?Nakumbuka hata compassion ilikuwa hivi hivi lakini waliokuwa wansomeshwa ni watu au familia ambazo mke na mume wameajiriwa,watoto wao wakubwa wana ajira na hao wanaolipiwa sio wenye shida au uhitaji(nina rafiki yangu alikuwa boss wangu watoto wake walikuwa wanalipiwa adaKwa nini wasitembelee hizo familia masikini waone kama ni maskini?
 
Arusha msijifanye special. Elimu Ni bure nchi nzima nyie mnajidai mnapeleka watoto international. Sheria ifuatwe hao jamaa walipe Kodi mpaka nukta ya mwisho
Utafikiri Tanzania ni yao peke yao,kwani huko kwingine pia si ni bure?wasituletee ujinga,kama vipi lema akawalipie kodi yetu shule zifunguliwe!
 
Tatizo lingine katika hizo shule vigisuvigisu ni vyingi sana kwa watoto kupata nafasi katika shule hizo. Wengi wa watoto wanaosoma huko wazazi wao au walezi wao wanakipato kizuri tu, ila zinaitwa shule za watoto wa masikini.
Ila kwa St Jude wanajitahidi sana kulenga Watoto wenye uhitaji ila tatizo ni nyie Wabongo maana Wasimamizi wa hiyo Shule ni Wazungu sasa kama mnawadanganya wao watafanyeje?.

Wanaotakiwa pale ni Watoto wanaotoka familia masikini na wanaotakiwa kufanya huo uthibitisho ni jamii wenyewe, na kwa vyovyote nafasi haziwezi kuwatosha kila wanaohitaji.
 
Back
Top Bottom