Hiyo shule ni ya msaada kwa wanafunzi wenye vipaji na wazazi wao hawana uwezo wa kuwasomesha kwenye shule za vipaji maalumu.
Wanafunzi hao hulipa zero school fees.
Body ya shule hiyo iliyoanzishwa. na mama raia wa Australia Gemma na mumewe Bob Rich ndio hutafuta ufadhili huko nje na pesa hizo hulipia gharama kama umeme, chakula, mishahara, vitabu vyote, madaftri, vifaa vya maabara ya kufundishia, usafiri na kadhalika.
Sasa kodi ipi inayopaswa kulipiwa?
Mtu anakusaidia kazi ya kufuta ujinga kwako for free then unamdai kodi?
Hata kama ni mimba inayotaka kodi ila hali hii imekuwa too much.
Kodi kodi kodi mpaka aibu.
Keshokutwa usishangae ukiona wamwfungasha na kuhamia nchi ingine ambayo iko willing and able kusaidiwa bila masharti kama hayo.
Kisa cha yote haya ni siku ya kampeni jijini Arusha, shule zote ziliambiwa zitoe watoto wavalishwe mavazi ya CCM na kwenda kwenye mkutano aliokuwa anagutubia JPM hiyo shule pekee ikakataa kwa kigezo kuwa wanafunzi walikuwa wanaendelea na masomo.
Kauli iliyofuata ni kuwa tutawaonesha!
Na kweli wamewaonesha