maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Nilisoma harakaharaka nikadhani umeandika awamu ya mattak.oAwamu ya matamko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisoma harakaharaka nikadhani umeandika awamu ya mattak.oAwamu ya matamko!
Arusha nnachoipendea umaskini siyo kulala njaa wala kutembea uchiHiyo ni Arusha sio kule kwenu wala panya
Kuna total private wanalipa ada, na kuna total 100% wanaofadhiliwa; kuna wanaosaidika 100%!
Ninaamini dispute ipo kwenye kuthibitisha wanaosaidiwa vs wanaolipa; inaitaji busara na uvumilivu kila upande
Usinene kwa hasiraNimeandika nikafuta, nikaandika nikafuta, nimeona niache tu.
Nimejizuia nisifanye hilo.Usinene kwa hasira
Utakuwa unazungumzia ISM, au St CostantineHivi hyo st jude ndo ile pale njiani ukiwa unatokea njia ya babati nzurii mazingira yake mazuri au nimekosea
Mimi sijacomment sababu sijui chochote kuhusu taratibu za hiyo taasisi kupata wanafunzi walio maskini, sijui kama hizo pesa zilizofungiwa ni zile za funder kweli au nyingineNimejizuia nisifanye hilo.
Itakuwa ni matokeo ya kufanyiwa examination of books of Audited FS au Tax Audit then TRA wakagundua kuna kodi ilitakiwa kulipwa Ila haikulipwa. Ss wakawapa findings then notice of discussion then assesment ya malipo ila wao hawakurespond ndo TRA wakachukua hatua kwanza kublock acc usiporespond wanachukua hatua ya kuielekeza Bank ifanye hayo malipo.Mimi sijacomment sababu sijui chochote kuhusu taratibu za hiyo taasisi kupata wanafunzi walio maskini, sijui kama hizo pesa zilizofungiwa ni zile za funder kweli au nyingine
Yah kweli ni hyo st constantine ndo iko njianiUtakuwa unazungumzia ISM, au St Costantine
Mitano tena hao watoto zaidi ya 1.800 utawapeleka shule za mchepuo wa kingereza uwalipie ada,usafiri,chakula na malazi?Safi sana TRA yetu, nendeni wafwatilieni pia na wengine kama Braeburn & Co.
Mitano tena hao watoto zaidi ya 1.800 utawapeleka shule za mchepuo wa kingereza uwalipie ada,usafiri,chakula na malazi?
Watakaoumia ni watoto wa wanyonge.Busara itumike.
Mkuu umechanganya habari mgogoro unaosemea wewe ni wa Shule ya Msingi Naura.hii shule mgogoro na TRA ulianza wakat ule magufuli amekuja arusha kuhudhuria kusimikwa kwa Askofu wa Katoliki..askofu aliomba shule ifutiwe madeni..magufuli akasema nimeambiwa kuna kesi kwa hiyo sowwz ingilia mahakama..magakama ikaamua pesa ilipwe..nasikia shule ikalipa..bado wakaendelea kudaiwa mikodi kibao..had kufunga akaunt na mwisho wamezihamisha..watoto wote wanasoma bure asilimia 100..serikali ikae na uongoz wa shule waone namna ya kuwasaidia watoto..
AikambeBusara ndo hiyo imeshatumika, TRA yetu inataka walipe kodi, na ni sawa 100 %, hawataki wafunge waende kwanza hatuwahitaji, ...
Aikambe
Hao watoto utawajengea shule lini? Toa mbadala
Tulianza kwa sala, na tutamaliza kwa sala!Nasikia walikataa kupelekw watoto na waalimu kwenye kampeni siku jiwe alivyokua Arusha
Mitano tena........!!!
Hakuna Private pale Mkuu.Kuna wanaolipa pia, wapo wa charity and private