Arusha: Wazazi Shule ya St. Jude waandamana kwa RC, TRA yakausha akaunti ya shule

Arusha: Wazazi Shule ya St. Jude waandamana kwa RC, TRA yakausha akaunti ya shule

Hii hatari hawa jamaa waliojipa hati miliki ya nchi kwamba mda wowote wanaweza kukufanya lolote na usiwe na pa kwenda.
Ilaaniwe siku kilipozaliwa kiasisi cha matatizo yote haya.
 
Kama story ndivyo ilivyo , basi kuna shida
Kuna total private wanalipa ada, na kuna total 100% wanaofadhiliwa; kuna wanaosaidika 100%!

Ninaamini dispute ipo kwenye kuthibitisha wanaosaidiwa vs wanaolipa; inaitaji busara na uvumilivu kila upande
 
Mimi sijacomment sababu sijui chochote kuhusu taratibu za hiyo taasisi kupata wanafunzi walio maskini, sijui kama hizo pesa zilizofungiwa ni zile za funder kweli au nyingine
Itakuwa ni matokeo ya kufanyiwa examination of books of Audited FS au Tax Audit then TRA wakagundua kuna kodi ilitakiwa kulipwa Ila haikulipwa. Ss wakawapa findings then notice of discussion then assesment ya malipo ila wao hawakurespond ndo TRA wakachukua hatua kwanza kublock acc usiporespond wanachukua hatua ya kuielekeza Bank ifanye hayo malipo.
 
Safi sana TRA yetu, nendeni wafwatilieni pia na wengine kama Braeburn & Co.
Mitano tena hao watoto zaidi ya 1.800 utawapeleka shule za mchepuo wa kingereza uwalipie ada,usafiri,chakula na malazi?
Watakaoumia ni watoto wa wanyonge.Busara itumike.
 
Mitano tena hao watoto zaidi ya 1.800 utawapeleka shule za mchepuo wa kingereza uwalipie ada,usafiri,chakula na malazi?
Watakaoumia ni watoto wa wanyonge.Busara itumike.

Busara ndo hiyo imeshatumika, TRA yetu inataka walipe kodi, na ni sawa 100 %, hawataki wafunge waende kwanza hatuwahitaji, ...
 
hii shule mgogoro na TRA ulianza wakat ule magufuli amekuja arusha kuhudhuria kusimikwa kwa Askofu wa Katoliki..askofu aliomba shule ifutiwe madeni..magufuli akasema nimeambiwa kuna kesi kwa hiyo sowwz ingilia mahakama..magakama ikaamua pesa ilipwe..nasikia shule ikalipa..bado wakaendelea kudaiwa mikodi kibao..had kufunga akaunt na mwisho wamezihamisha..watoto wote wanasoma bure asilimia 100..serikali ikae na uongoz wa shule waone namna ya kuwasaidia watoto..
Mkuu umechanganya habari mgogoro unaosemea wewe ni wa Shule ya Msingi Naura.
 
Huu ni uduwanzi, watu wafadhili elimu bure na kodi walipe kwa biashara gani?
 
Back
Top Bottom