Mwanzoni walivyoanzisha shule ndivyo ilivyokuwa lkn baadae walikuja kuondoa huo utaratibu. Hivyo kwa sasa wote waliopo pale wamefadhiliwa na raia wa Australia.
Kanisa katoliki halina hata 0% ya hiyo shule,ni mali ya mama wa kizungu na mumewe muarusha bob richhii shule mgogoro na TRA ulianza wakat ule magufuli amekuja arusha kuhudhuria kusimikwa kwa Askofu wa Katoliki..askofu aliomba shule ifutiwe madeni..magufuli akasema nimeambiwa kuna kesi kwa hiyo sowwz ingilia mahakama..magakama ikaamua pesa ilipwe..nasikia shule ikalipa..bado wakaendelea kudaiwa mikodi kibao..had kufunga akaunt na mwisho wamezihamisha..watoto wote wanasoma bure asilimia 100..serikali ikae na uongoz wa shule waone namna ya kuwasaidia watoto..
Si shule za serikali zilipeleka watoto,cz wng wako private hawakwenda huko na wangeambiwa wangebaki nyumbani no kwendaHiyo shule ni ya msaada kwa wanafunzi wenye vipaji na wazazi wao hawana uwezo wa kuwasomesha kwenye shule za vipaji maalumu....
Bob nnaemjua mie?Kanisa katoliki halina hata 0% ya hiyo shule,ni mali ya mama wa kizungu na mumewe muarusha bob rich
hizo shule janja janja nyingi sana...Tatizo lingine katika hizo shule vigisuvigisu ni vyingi sana kwa watoto kupata nafasi katika shule hizo. Wengi wa watoto wanaosoma huko wazazi wao au walezi wao wanakipato kizuri tu, ila zinaitwa shule za watoto wa masikini.
Inasikitisha sana hizi siasa chafu za kichawi kwa nchi yetu hiiUnategemea ccm iliyojaza wajinga na wagonjwa kma huyu wawe na akili kweliView attachment 1639464
Huu ni ukweli kabisaTatizo lingine katika hizo shule vigisuvigisu ni vyingi sana kwa watoto kupata nafasi katika shule hizo. Wengi wa watoto wanaosoma huko wazazi wao au walezi wao wanakipato kizuri tu, ila zinaitwa shule za watoto wa masikini.
Mkuu humu wazazi huanzia na vigezo vys kimaskini kabisa ila hawakatazwi kujikwamua na umaskini.Hao matajiri unawaowasema ni kweli ila wamepata utajiri baada ya kuwa watoto wao wamepata nafasi pale.So maendeleo kwa kila kaya hayakwepeki.Leo maskini kesho tajiri.Kati ya wanafunz wote hapo shuleni 5% ndo wa maskini kwa ajili ya kuzugia wanaobaki wazaz Wana kipato kizuri tu. Ukiuliza majirani wanaozunguka hiyo shule ndo utabaki mdomo wazi nanna uongozi wa shule wanavyotaabisha hao maskini.
Yes Tatizo lilianzia hapa. Na Kimsingi hili ndo Tatizo.Waligoma kupeleka watoto kwenye Kampeni
Wameamua wenyewe kuandamana au da mange kawahamasisha? au Lissu?.By the way yamkini kipimo kimejaa.Wameona jambo lao halibebeki kifuani.Wazazi Maskini zaidi ya 2000 ambao watoto wao wanafadhiliwa kimasomo katika shule ya St. Jude iliyopo Arumeru Mkoa wa Arusha, wameandamana Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakitaka shule hiyo yenye mchepuo wa Kiingereza ifunguliwe ili Watoto wao waliosimamishwa masomo kwa zaidi ya wiki mbili waweze kuendelea na masomo...
Mdee kakataa kasema hakuna cha mpunga mrefu wala nini.Hahahahaaaaa
Hakuna hata mmoja anayelipa currently zamani ndo walikuepo tena wachacheKuna wanaolipa pia, wapo wa charity and private
Kuendekeza misaada ni kansa inayoitafuna nchi. Nakumbuka madai kama haya huwa yanatolewa na watu wa dini kuwa nchi isipojiunga kwenye mashhirika ya kidini inafanya watu wa dini ile wakose misaada. wakristu wanalilia memorandum yao na waislam wanalilia kujiunga OIC. Kisa misaada. Mi nafikiri misaada tuipokee kwa umakini inavunja utengamana wetu.Hii issue ya wafanyakazi kujitegemea Tin number itayaumbua makampuni mengi kufika Jan. Wengi walikuwa wanafanya michezo ya kuigiza kukata wafanyakazi Kodi na kuchanganya na Kodi yao ndogo, na hao Jude mwanzo walianza kuchanganya Private na Charity Sasa Kodi ya huko nyuma walilipa? Na Kama kweli Kuna fungu la kushomesha kwanini hawawalipii hao wanafunzi kwenye shule moja kwa moja?...
Wewe unaijua? Hahahahhaa kama hujui wafadhili ambao wako chini ya kanisa na hilo jina na Tec waliomba isamehewe deni Siku ya kusimikwa Askofu Amani kama hujui uliza.Acheni ujinga TEC na St Jude wapi na wapi? hii sio shule ya kanisa ni makosa kuandika bila kuwa na fact
Angalia Fanya tafiti hata Magari yao yanapack wapi hapa mjini kama siyo st Theresa Cathedral usibishe usiyojua.Narudia kusema shule hii haina mahusiano na kabisa katoliki ,tafuta fact au kuona st Jude unafikiri ni shule ya kanisa nenda kwenye website kaangalie "stjudeschools-moshono "
TRA!!!!!??Wazazi Maskini zaidi ya 2000 ambao watoto wao wanafadhiliwa kimasomo katika shule ya St. Jude iliyopo Arumeru Mkoa wa Arusha, wameandamana Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakitaka shule hiyo yenye mchepuo wa Kiingereza ifunguliwe ili Watoto wao waliosimamishwa masomo kwa zaidi ya wiki mbili waweze kuendelea na masomo...