Hii issue ya wafanyakazi kujitegemea Tin number itayaumbua makampuni mengi kufika Jan. Wengi walikuwa wanafanya michezo ya kuigiza kukata wafanyakazi Kodi na kuchanganya na Kodi yao ndogo, na hao Jude mwanzo walianza kuchanganya Private na Charity Sasa Kodi ya huko nyuma walilipa?
Na Kama kweli Kuna fungu la kushomesha kwanini hawawalipii hao wanafunzi kwenye shule moja kwa moja? Kingine watoto wenye shida wapo government tunawaona, ifike sehemu kwenye kuwajibika tuwaache wazazi wafanye majukumu yao Tena na Sheria ziwekewe mkazo kuondoa uzembe kwenye taifa, hao wazazi 2000 wote hao kweli waliondama walishindwa kubeba majukumu yao?
Ni aibu kabisa, Mimi nilitegemea kusikia watoto Yatima au wazee wasionanguvu wameandama kuomba wajukuu wao wasome maana hata Mimi niyatima najua ilivyongumu kusoma lakini siyo hao wazazi wenye nguvu wanafanya hayo maigizo bwana.